Busega: Aua Mkewe kisha naye kujinyonga kutokana na tuhuma za kusaliti Ndoa

Huko kwetu ni shida,nilishuhudia mmama akipokea kipigo cha haja kisa palichinjwa kuku Siku hiyo katika kupakua hicho kitoweo firigisi ikawa imepotea ktk mazingira tatanishi,firigisi inaliwa na baba tu.

Da ma alichezea kichapo hatari.
 
Kabla sijachangia naomba niseme sentesi haijakamilika; siku zote lazima uandike "kitu kizito chenye ncha kali" hata kama ni rungu
mahakama ndiyo yenye mamlaka ya kutafsiri hivyo vitu ni nini.

kwahiyo polisi wanavitaja nusu nusu.
 
wasukuma siku hizi hawana nguvu, ndio maana wanaibiwa sana.
 
mahakama ndiyo yenye mamlaka ya kutafsiri hivyo vitu ni nini.

kwahiyo polisi wanavitaja nusu nusu.
Wanapata mafunzo nusunusu, maana inatajwa kuwa kazi yao ni kuwalinda raia na mali zao lakini wao ndiyo hivyo tena wanafanya kinyume chake
 
Hiyo ni kwa mujibu wa wenye sentesi yao, kumbuka yule mwandishi wa habari aliyeuawa Mufindi enzi za mkwere, walisema amepigwa na kitu kizito chenye ncha kali, na huu ni mwendelezo
Si lazima sentensi iwe hivyo, kuna vitu vizito visivyo na ncha kali
 
Si lazima sentensi iwe hivyo, kuna vitu vizito visivyo na ncha kali
Kama ulinielewa kule mwanzo nilisema hivi, wenye sentesi yao husema "kitu kizito chanye ncha kali hata kama ni rungu"
 
Kuna watu watasema mwendazake alidhibiti mpaka wivu wa mapenzi! Haa haa! Hizi kesi zimeongezeka ghafla tokea aende

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Huko kwetu ni shida,nilishuhudia mmama akipokea kipigo cha haja kisa palichinjwa kuku Siku hiyo katika kupakua hicho kitoweo firigisi ikawa imepotea ktk mazingira tatanishi,firigisi inaliwa na baba tu.

Da ma alichezea kichapo hatari.
😀😀..wanangu nikienda nao home kwetu nawakaririsha njia nzima nawaambia firigisi na mapaja ni ya babu...kwangu mapaja na firigisi tunawapaga wao...weee..siku moja mama akaona show nawapakulia wao mapaja niliwekw kikao kbs na baba cha kusemwa..mambo mengine ni ushamba tu!
Mie sipendi kbs mambo ya ajabu ajabu...!
 
Kiruuuu[emoji848]
 
Kuna watu watasema mwendazake alidhibiti mpaka wivu wa mapenzi! Haa haa! Hizi kesi zimeongezeka ghafla tokea aende

Everyday is Saturday............................... 😎

Jamaa huu msemo wako wa Everyday is Saturday unaukubali kinyama[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…