NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,313
Angeanza yeye kwanza kuwahurumia aliowaua.
Alipokuwa anaua alikuwa ametawaliwa na shetani hakuwa na hurruma hata kidogo.
Sasa amebadirika ni mtu mpya kazaliwa upya ktk christ aliye hai.
Alisikitisha sana, yaani niliangalia kwa sababu walionyesha sana kifo chake hata masaa machache kabla ya kufa alikuwa anaonyeshwa akiongea na alikuwa anatabasamu, hofu ya kifo sijui haikumwingia!