Salute wakuu, hope harakati zinaenda ipasavyo.
Straight to the point, kuna idea hii ya ecommerce website kwa tz, nmekua nikiifikiria sana na sasa nimeamua kuifanya.
Looking at tz, naona giants kuna jumia, na other listing sites kama kupatana...(add wengine tujuzane zaidi)
Sasa to me, am looking at small traders, hawa wafanyabiashara wadogo wadogo wa kkoo na sehemu nyingine, there's something that can be done, KUWACONNECT HAWA NA WANUNUZI WA DSM NA HATA MIKOANI.
Naona watu wanaposti bidhaa zao IG, wengine wana account nzuri tu(kudos) , BUT kuna inconveniences nyingi(to be discovered?? product arrangement??, trust??...n.k)
Kama mjasiriamali, najiuliza maswali mengi na nnaona , I CAN DO SOMETHING ABOUT IT...and am doing it for real.
But, as you know, ktk game la entrepreneurship, walking alone utawalk fast tu, lakini walking together will get you far!! SO, naileta idea hii kwenu wadau
Nakaribisha maoni, ushauri and kwa kua ndo naanza, FOR THOSE INTERESTED we can build a team and work together (pm me)
NB: Kwa wale wafanyabiashara, msimu wa sikukuu ndo huoo unaingia, so ntawaletea platform kuadd bidhaa zako, promo tuachie sisi!! Kutakua na OFA kwa members wa JF.
Gracias to all who were lucky enough to read this [emoji56]
A snap of my idea
Straight to the point, kuna idea hii ya ecommerce website kwa tz, nmekua nikiifikiria sana na sasa nimeamua kuifanya.
Looking at tz, naona giants kuna jumia, na other listing sites kama kupatana...(add wengine tujuzane zaidi)
Sasa to me, am looking at small traders, hawa wafanyabiashara wadogo wadogo wa kkoo na sehemu nyingine, there's something that can be done, KUWACONNECT HAWA NA WANUNUZI WA DSM NA HATA MIKOANI.
Naona watu wanaposti bidhaa zao IG, wengine wana account nzuri tu(kudos) , BUT kuna inconveniences nyingi(to be discovered?? product arrangement??, trust??...n.k)
Kama mjasiriamali, najiuliza maswali mengi na nnaona , I CAN DO SOMETHING ABOUT IT...and am doing it for real.
But, as you know, ktk game la entrepreneurship, walking alone utawalk fast tu, lakini walking together will get you far!! SO, naileta idea hii kwenu wadau
Nakaribisha maoni, ushauri and kwa kua ndo naanza, FOR THOSE INTERESTED we can build a team and work together (pm me)
NB: Kwa wale wafanyabiashara, msimu wa sikukuu ndo huoo unaingia, so ntawaletea platform kuadd bidhaa zako, promo tuachie sisi!! Kutakua na OFA kwa members wa JF.
Gracias to all who were lucky enough to read this [emoji56]
A snap of my idea