Big dady 11
Senior Member
- May 21, 2023
- 109
- 128
- Thread starter
- #21
🙏🙏🙏Nice
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏🙏Nice
Imoji ni ujinga Kwan? Unajua imoji zipo kwny sm kwann?Mimi nina shida moja na mtoa mada,unaandika mambo serious halafu unaweka viimoji vingi, ebu kuwa serious next time
Wanapataje faida? Mfano nimekopa 10m kama hamna riba narejesha 10m. Sasa wao wanapata vipi faida kuendesha shughuli zao?Kumbe.. lakn mbona ipo Amana benk haina riba
Kumbe imoji ni kwa wanawake tu🤔.. Tanzania bado tuna safar ndefu kutokomeza ujinga 🤣Sasa mtoto wa kiume hizo emoji za nini?
Kaandika ujinga mleta madaWaislam wale hawawezi kufanya biashara yenye riba
Kwel waje na AzamtelBusiness idea yako nzuri tatizo waislamu bank zao hawaeki riba hapo atapata hasara..!!
Na mzee kwa macho ya nje anaonekana mcha Mungu, mtu wa imani.!!
Labda afungue kampuni ya mawasiliano.
Ninavyoelewa riba ipo hata katika hiyo benk…Ni vile tu imebadilishwa jina haiitwi riba….Bila riba mfumo wa uchumi wa dunia unakutema!!!.Kumbe.. lakn mbona ipo Amana benk haina riba
Inategemea unazitumia wapi,sasa unaandika uzi unaweka imoji wapi na wapi,hayo mambo ya whatsappImoji ni ujinga Kwan? Unajua imoji zipo kwny sm kwann?
Wahuni wameweka jina jingine tuNinavyoelewa riba ipo hata katika hiyo benk…Ni vile tu imebadilishwa jina haiitwi riba….Bila riba mfumo wa uchumi wa dunia unakutema!!!.
Dini zote riba ni dhambi hata kwenye Ukristo mikopo na riba ni haramu.Bank ni riba labda ajeni ilekama ya amanabank isoyo na riba
Sisi waislam riba ni dhambi
jamaaa kaona katoa wazo la maana kumbe ujinga mtupu,Hapo mwenyewe unaona umefikiria?
Mkuu, mambo sio rahisi hivyo.
Wazo la benki nalo ni wazo? Kuanzisha Banki haiwezi kuwa wazoPeleka wazo ilo upige ela
Lina uzuri gani? yaani kushauri wafunge Benki hilo ni wazo? aisee hii nchi imejaaa vilaza Mungu saidiaWazo zuri
KumbeWazo la benki nalo ni wazo? Kuanzisha Banki haiwezi kuwa wazo