Mr.genius
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,374
- 1,201
Heshima kwenu wakuu, nina business idea ambayo itawafaa sana makampuni ya simu namaanisha kama vile Tigo, Vodacom, Airtel au TTCL. Nahitaji msaada wa kuelekezwa ni kwa namna gani naweza kuwasilisha hio idea yangu kwao, ni utaratibu gani natakiwa kuufuata!.
Asante!
Asante!