Pia niliwaza kukopesha watu kwa riba, ila Enzi hizi nafikiri rejesho litakua ugomvi1.Toa wazo lako kwanza na eleza upo maeneo ya wapi kwa jina(kijijini/ mjini)! ndio nikupe ushauri.
2.Hizo pesa ni zako au za mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jekama amechukua mkopo...[emoji47] [emoji47]Kwanini usiendelee kuwekeza zaidi kwenye hiyo kazi iliyokupa 15M ?
Wacha kumpoteza mwenzio aiseeee.....Pia unaweza kwenda machimbo ya wachimbaji wadogo wadogo Na kununua dhahabu gramu gramu kisha kauze nairobi
DJ sepetu
Mkuu njoo tuanzishe studio hio hela inarudi mara mbili ndani ya mwaka kama uko serious kweli.Asante mkuu nitafanyia ufuatiliaji hili pia
Pendekeza walau biashara tatu unazodhani utakuwa na muda wa kuzisimamia ili ushauriwe vinginevyo miluzi mingi humpoteza mbwaSina zaidi ya Kusoma
Hela ya urithi ngumu, ndio maana Wazungu, Wahindi na Waarabu huwa wanafanya SUCCESSION kabla hawajafa. Ukiangalia Dewji na Bakheresa hata kama wakifa KAMPUNI zao zitadumu maana tayari ma SUCCESSOR WashapatikanaKama ni pesa ya urithi???
[emoji3][emoji3][emoji3] nimejikuta nacheka tuWacha kumpoteza mwenzio aiseeee.....
Hivi biashara ya madini unaijua wewe....[emoji34] [emoji34]
kuna studio za aina nyingi sijui wewe unamaanisha studio ya aina gani.Mkuu njoo tuanzishe studio hio hela inarudi mara mbili ndani ya mwaka kama uko serious kweli.
Ha ha ha mwenye hela atangaziHabari wanajamvi, nimebahatika kupata milioni 15, naombeni wazo la biashara itakayonipa atleast 2M per Month. Maoni yote yanakaribishwa.
Asanteni
Studio ya kufanya mixing yaani kuproduce mizikikuna studio za aina nyingi sijui wewe unamaanisha studio ya aina gani.
Ndio nazitafuta mkuu
Music productionkuna studio za aina nyingi sijui wewe unamaanisha studio ya aina gani.
Nipunguze malengo na matarajio. Then unashauri nifuate njia ipi mkuu!
!
Biashara ngumu sana hiyo. Hata kama utaikopesha kwa 10% bado utatengeneza kama 1.5m tu kwa mwezi kama faida ghafi. Kimsingi ni ngumu kutengeneza faida ya 2m kwa mwezi kwa mtaji wa 15m. Kwa maana hapo unazungumzia 24m kwa mwaka.
watu bwana.kwahiyo wewe kwako milioni 15 ni hela nyingi sana. angesema ana milioni angalau 100 anaomba ushauri sijui ungefanyaje?
Kama ulikuwa una uwezo wa kusave laki6 na 25 kwa mwezi,komaa na hiyo Kazi.Muajiriwa nimedunduliza kwa miaka miwili sasa
Nipunguze malengo na matarajio. Then unashauri nifuate njia ipi mkuu