The Certified
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 910
- 774
Sijaona wazo zuri wala la mtaji mdogo yote kawaida tu ila asante ni pm nikuongezee mpya ambazo hukuziwaza wa kuzizania But Asante kwa somo mwenye kuchukua na achukue. Mtanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu kwa utayari wa ku-share ulichonacho.Wakuu nimekuwa nikifuatilia JF kwa muda mrefu sana, tangu enzi hizo inaitwa JamboForums mpaka JamiiForums. Nimeona watu wengi walivyo na muamko wa biashara ili kuongeza kipato sababu mishara ya kazini haitoshi. Lakini kikubwa nimeona watu wanavyoumiza kichwa kujua nini wafanye, wengi wamekuwa waigizaji au copycat. Kwenye biashara kuna watu wa aina tatu Innovator, imitator and ------, hivyo try to be innovator.
Ok enough of blah blah. Mpango wangu katika post hii ni kuainisha biashara 6 ambazo mtaji wake ni less than 10,000USD exclude a working capital.
1. Food Processing and Packaging: (The truth ni kwamba agro product zetu hazipo kwenye mashelf ya supermarket za dar sababu the packaging sucks. Nilinunua bottle ya mbilimbi pickles, yaani product is taste lakini the package ni aibu. Biashara yoyote inayohusu chakula una potential ya kuikuza at least by 15% annual. Food ambazo unaweza process includes Maharage, mahindi mabichi, samaki, njegere, mchicha na nyingine nyingi. Sio lazima kutengeneza pilipili everybody is doing it.
2. Maize and Rice Milling: Najua hapa wote mtasema oooh Azam na Jogoo wameshika soko, guess what kuna at least 20% ya market share ambayo ni nobody territory. Unachotakiwa ni kujitofautisha (Differentiation Strategy) na Azam na Jogoo.
Here is how:
(a) Kiwango (Quality), hakuna atake nunua unga wako kama ukikaa ndani unaoza,
(b) Urahisishaji (convenience) hapa sio kwenye price bali kwenye packaging, funga katika ujazo wa 1/2KG, 1KG, 2KG, 5KG na 10KG. Zama za mizani zimekwisha.
(c) Bei shindani (competitive price), kumbuka zama za kulopoka kwamba kilo 1,000 zimekwisha. Have all the facts behind your numbers, jua gharama za uzalishaji (Direct Cost & Indirect Cost), pricing is an art sio kulopokwa tuu sababu everybody is selling 1,000 basi na wewe 1,000.
3. Quick Car Wash,Tire Repair, Oil and Lubes: Kila mtu anaona magari yanavyongezeka Tanzania, the good news ni kwamba this is nothing in the next 10 years idadi will double. Means kwamba opportunity and opportunity for entrepreneur. Nimeita quick sababu quickness ndio inakutofautisha na wachaga walio na sehemu hizi.
Kumbuka we are not trying to bring new business into the market we're either changing the process or improve the service that's it. So, hapa unaitaji air compressor ya mid size, hydraulics car jack za ukweli sio vile vijeki mshenzi ambavyo lazima utumie msuli. Remember quickness here at least 10 minutes mtu hayupo.
4. Bakery, fast food restaurant and Pizza Place: Tanzania sasa imeamka jamani sio miaka ya 1980s ambapo watu walikuwa wananua maandazi ya kufunga na gazeti, watu sasa wanataka good product, well packed and delicious. Cha muhimu hapa ni location, ukienda kufungua hii venture kigogo huko au kwetu kimanga am sorry no one will recognize it.
Angalia location and target "middle income consumer" wanaojifunga tai na michuchumio ( facebook/twitter generation). Hapa pia kumbuka quickness is a key, watu wanajaribu kuishinda foleni, so no one will give you 20mins umfungie maandazi.
5. Mobile entertainment: Hapa kama una ujuzi wa kuwaza unaweza kutengeneza pesa mpaka basi. Over 20% ya Watanzania ni watoto 12years and younger. Means kwa dar tuu wapo watoto zaidi ya laki 6. Kila mdada anajaribu biashara ya kuleta bounce house kwenye birthday za watoto, that is so 1960s. Watoto wa siku hizi wapo 9 hours ahead, fikiria outside the box. Kumbuka hi St. Majanga zote zilizojaa dar ukiwa na good mobile entertainment idea you will partner with all of them. This is pure money...
6. Mobile Fast Food Restaurant: Wenyewe mnaona jinsi KFC au subway zinavyojaza au container pale morocco, lakini hawa wote ni "brick and mortar" hawewezi kuwafata wateja posta, coco beach. Wewe unafanya mapinduzi, kumbuka business is always about revolution if you evolve yatakupata ya Blackberry.
Kama una idea nyingine weka hapa, zama za kuamini kwamba idea yako watu wataichukua is nonsense, sababu wewe unaijua idea yako kushinda mtu mwingine. Kama mimi all those 6 are my ideas. Let soko liwe jaji.
Mungu akijalia wakati mwingine nitaandika tumia social media to make miracle in your business. Na hapa you will see how facebook, twitter, blogs can make revolution for your business. Remember we do not bring anything new in the market, we are either change, process au improve service.
Weka lako zuri mkuu tufaidikeSijaona wazo zuri wala la mtaji mdogo yote kawaida tu ila asante ni pm nikuongezee mpya ambazo hukuziwaza wa kuzizania But Asante kwa somo mwenye kuchukua na achukue. Mtanganyika
Bado naanda makala nzuri kaka pia tafti yakinifu sio kuongelea biashara za mamilion kila siku so namba hazidanganyi nitaweka soon after researchWeka lako zuri mkuu tufaidike
Thanks very muchUPANDE WA KILIMO
@ufugaji samaki
@ufugaji kuku wa mayai na nyama
@ufugaji wa nguruwe
@uzalishaji mbwa na kuwauza
Kilimo mbogamboga
@utengenezaji chakula cha mifugo
@utengenezaji wa unga na kuuuza
@kununua nafaka na kuuza kama mchele
@ulimaji wa mazao ya chakula na biashara
@ulimaji wa matunda
UPANDE WA ELIMU
@ufundishaji tuition,au shule binafsi
Huduma ya chakula mashuleni na ofisini
@utunzaji wa watoto/day care centre
@Uuzaji wa past papers na solution zake
@kufundisha kompyuta
@uuzaji wa vifaa vya stationery
UPANDE WA ICT
@uuzaji wa simu,vifaa vya simu na kurekebisha/repair
@uuzaji wa Pc na vifaa vyake
@kuwatengenezea web watu
GRAPHICS DESIGN
Huduma ya kurudisha namba zilizopotea
Huduma ya simu pesa(aitel money,tigo pesa na m pesa)
@uchezeshaji wa magemu
Huduma ya banda la kuangalia mechi Uefa,vpl,epl na world cup
BIASHARA NYINGINE
@upakaji rangi
@utengenezaji sabuni na cream body
@utengenezaji batiki
@utengenezaji dawa za chooni
anzisha blog yako
@ tengeneza app yyt katika google play store
Andika kitabu cha kuelimisha mambo ya dini
@Fanya research na tafuta wafadhili ktk hy mada yako na fanya presentation
@usafirishaji mizigo
@mtengenezaji cake za harusi na mpambaji
mkufunzi wa mazoezi ya viungo( body fitness trainer)
Thanks sana kwa ushauri mkuuBiashara za Hustles huziwezi, Nakushauri fanya uwekezaji, Jilipue tu kwa sasa kwa kununua hisa za voda kama you are still too young to handle the risks
N.B Usiache kazi
Watu wanaoweza kuacha kazi na kukaa normal ni wachache
Nashukuuru sana kwa ushauri mkuukukosea kwenye biashara hakunaga mjanja..
hata bill gate, mengi, dangote huwa wanakoseaga,
biashara haifundishiki ndugu utaliwa hela tu...
fanya kitu unachokipenda na unachokijua kiundani ili hata hasara ikitokea usiumie sana sababu unakipenda.
ukiona huwezi jengea nyumba tu hiyo ndio ina risk ndogo...
Au kama hutojali, Partner na mimi, nina wazo bora sana la kipindi cha TV na ninaamini halitakosa wadhamini kama makampuni ya simu na mabenk. uwekeze kwenye wazo langu then, mapato ni 50- 50 ,Win-Win situationThanks sana kwa ushauri mkuu
Nashukuru sana mkuuKuna wakati unaweza kufanya kitu kikakupa adhabu badala ya faida unayo tegemea kuipata
1.usiache kazi kwa kutegemea biashara ya kwenda kujifunza kuifanya
2. Angalia kitu unacho weza kukifanya kama uwekezaji katika mtaji mdogo na utapaswa kuajiri mtu wa kusimamia hii itakuongezea kupata uzoefu wa biashara au uwekezaji utakao kuwa umewekeza
3. Kupata hasara ni sehemu ya fundisho linalo patikana ndani ya biashara na ndo hukupa mwelekeo halisi wa kujua wapi umekosea wapi ulipatia upaongezee mkazo
Ukisha pata uzoefu ndo utapata mwelekeo wa kujua uache kazi au laa
Nashukuru sanaEndelea na kazi Kwani kuajiriwa sio dhambi.
Kwa tafsiri lahisi biashara/ujasiriamali ni sawa na mbio za "Nyika". Kadri unavyofanya mazoezi ndivyo unavyozidi kuwa na pumzi. Nakushauri ufungue biashara yako iwe ni sehemu ya kukuongezea kipato kwa kazi unayofanya.
Huu sio muda muafaka wa kuacha kazi na kufanya biashara sababu.
1. Uwezo wa watu kufanya manunuzi umepungua
2. Uhaba wa chakula umesababisha mfumko wa bei (Labda uanze na biashara ya nafasi).
3. Serikali haitabiriki. Serikali imekuwa ni ya matamko badala ya sheria, kanuni na taratibu kutamalaki. Mfano wazi ni wafanyabiashara wa "viroba" jinsi walivyotendewa.
OK. Hebu nipm tujuzane zaidAu kama hutojali, Partner na mimi, nina wazo bora sana la kipindi cha TV na ninaamini halitakosa wadhamini kama makampuni ya simu na mabenk. uwekeze kwenye wazo langu then, mapato ni 50- 50 ,Win-Win situation
N.B Mimi ndo kwanza nimetoka chuo, sina hata mia