Business ideas (Bure)

Business ideas (Bure)

Ni kweli kabisa kwamba njia moja wapo itakayokuwezesha kuanzisha biashara yako ni mtandao.Fananisha mtandao kama ni shamba kubwa ambapo mtu unaweza kulima mazao yako, na tovuti ni kama mmea utakaokuwezesha kuvuna matunda yako (kipato).Utakapotunza mmea wako vizuri ndio utakapopata mazao yenye ubora.Kufungua tovuti ndio njia pekee itakayokuwezesha kuendesha biashara yako au huduma zako na pengine kukuingizia pesa .Hiyo utakapokuwa na tovuti mtandaoni basi ni lazima uifanye kama kitegauchumi kitakacho kuingizia kipato.Ijapokuwa kufungua tovuti au kufanya biashara ya mtandaoni ni rahisi lakini kuna changamoto zake.Ni biashara ya aina gani unataka uianzishe ,walengwa wake ni akina nani, bidhaa gani unataka uwauzie,njia zipi za kuwasambazia?. Vitu kama hivi ni muhimu kuvijua ili kuweza kufungua tovuti kwa ajili ya biashara yako.

Sio lazima unapofungua tovuti iweze kukuingizia kipato.Hapa inatokana na lengo lako wewe unafungia kutimiza matakwa gani.Tovuti zisizo ingiza kipato mara nyingi ni tovuti za kutoa taarifa/habari kwa jamii kama tovuti za shule na vyuo.Lakini kumbuka mtandao ni soko kubwa linalokua siku hadi siku hivyo linaweza kutumika kama njia mojawapo ya kukutafutia wateja.Mbinu na mikakati madhubuti ndiyo jambo la msingi katika kufungua biashara yako ya mtandao.Utakapofungua tovuti bila ya kujua ni kitu gani unataka ukiweke ,itakuwa ni vigumu kutengeneza kipato chako.Hivyo basi ni njia gani zitakazo kuwezesha kufungua tovuti yenye mafanikaio?.Fuatilia lengo moja baada ya linguine katika Makala hii;

Inaendelea hapa Jinsi Ya Kuanzisha Biashara
 
Fanya biashara ya mazao ukijituma unaweza kupata hata zaidi ya hiyo 10%
 
Fanya biashara ya kununua mifugo na kuuza kwa huo mtaji unaweza kupata mpaka 3m kwa mwezi
 
Wana jamii forum wenzangu.naombeni ushauri wa biashara gani zinazolipa ambazo naweza fanya kwa sasa.

Asanteni
 
Ingekuwa vizuri ungesema unamtaji kiasi gani , upo wapi na wewe unapenda ungefanya biashara gani
 
Wana jamii forum wenzangu.naombeni ushauri wa biashara gani zinazolipa ambazo naweza fanya kwa sasa.

Asanteni
hatujui hata uko wapi una mtaji gani sasa tunakusaidiaje hapo??
 
Mim kijan niliemaliza chuo natafuta bishara inayolipa kwa mtaji wa 500000 ila usiwe na hasara kubwa sana nipo mkoa wa Tanga au mkoa gan unastaili nijitupee ....

Msaada plz kama una ujuzi au elimu tushirikishane
 
Kuna kitu kipo kwenye avatar fanya hicho hicho
Au angalia Signature yangu
 
Back
Top Bottom