Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba nikupe ushauri muhimu. Kwanza kumbuka mtaji wako ndio amala yako, ukienda kujaribu kwenye kitu ambacho hukijui na huna mapenzi nacho basi ubusu busu ya kwaheri maana utapotea tuu.Mimi ni kijana niliyehitimu elimu yangu ya juu 2016 UDSM katika kukabiliana na changamoto za kutafuta kazi nimekamwa
Hivo basi nimeamua nijiajiri mwenyewe kwa kufanya biashara na nimeweza kupata mtaji wa Tsh 20 mil kwa dungu jamaa na marafiki . Je ni biashara gani naweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa huu mtaji usikurupuke ghafla kuanza biashara, Fanya research then ingia kwa biz.Mimi ni kijana niliyehitimu elimu yangu ya juu 2016 UDSM katika kukabiliana na changamoto za kutafuta kazi nimekamwa
Hivo basi nimeamua nijiajiri mwenyewe kwa kufanya biashara na nimeweza kupata mtaji wa Tsh 20 mil kwa dungu jamaa na marafiki . Je ni biashara gani naweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Fata pia huu ushauri ni mzuri xna..Mkuu naomba nikupe ushauri muhimu. Kwanza kumbuka mtaji wako ndio amala yako, ukienda kujaribu kwenye kitu ambacho hukijui na huna mapenzi nacho basi ubusu busu ya kwaheri maana utapotea tuu.
Nikupe simple ushauri, kwanza weka pesa hiyo bank, ondoa pressure ya kwamba lazima uanze biashara week hii au mwezi huu au saa hii. Aza kundika ideas zako kwenye karatasi, wewe zijaze tuu na uwe unazirudiarudia kuzisoma na kuzifanyia research mpaka utapata moja ambayo inamashiko. Ukiipata nenda mazima, fanya kazi mchana na usiku na nakuhakikishia utapata return kubwa.
achana kabisa na idea za sijui kakopeshe, sijui nunua bond. Achaaa kabisa, idea nzuri are simple.
Kwanini usiendelee kuwekeza zaidi kwenye hiyo kazi iliyokupa 15M ?Habari wanajamvi, nimebahatika kupata milioni 15, naombeni wazo la biashara itakayonipa atleast 2M per Month. Maoni yote yanakaribishwa.
Asanteni
kama Ana idea ya madini na masoko yake sawa ila kama hana soon ataweka miguu kichwaniPia unaweza kwenda machimbo ya wachimbaji wadogo wadogo Na kununua dhahabu gramu gramu kisha kauze nairobi
DJ sepetu
Kama ni pesa ya urithi???Kwanini usiendelee kuwekeza zaidi kwenye hiyo kazi iliyokupa 15M ?
Muajiriwa nimedunduliza kwa miaka miwili sasaKwanini usiendelee kuwekeza zaidi kwenye hiyo kazi iliyokupa 15M ?
Sina zaidi ya KusomaWewe binafsi una uzoefu wa biashara gani?
Kwa Hisani Ya Watu Wa Mbeya!
Nipo Kigamboni, ni za kwangu. Niliwaza kununua viwanja..nikaona nitakua nazika pesa tu1.Toa wazo lako kwanza na eleza upo maeneo ya wapi kwa jina(kijijini/ mjini)! ndio nikupe ushauri.
2.Hizo pesa ni zako au za mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu nitafanyia ufuatiliaji hili piaJaribu biashara ya mazao kununua mikoani kuja kuuza Dar mfano,mchele, maharage, karanga, nk . Pia mifuko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usiendelee kuwekeza zaidi kwenye hiyo kazi iliyokupa 15M ?