Business ideas (Bure)

Business ideas (Bure)

Kama Uliweza Kujikusanya ukapata 15m kwa miaka 2.Ni dhairi ulikuwa na malengo yako Binafsi..Tuwekee Hapa plan zako Za kabla tukushauriii.Vinginevyo utakuwa Unatudanganya na pesa za Urithi..Kama ni pesa ya Urithi nakushauli nunua Kiwanja tu.vinginevyo zitaisha ujafanya kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara nzuri ambayo unaweza kufanya ni kufungua Restaurant. Hiyo hata kama uchumi ni mbaya lazima watu wale hawana ujanja....
 
watu bwana.kwahiyo wewe kwako milioni 15 ni hela nyingi sana. angesema ana milioni angalau 100 anaomba ushauri sijui ungefanyaje?
Huwezi kuja kwenye public kama hv unamilion 15 na kutaka kufanya biashara ya upate 2mil per mouth unataka kutapeliwa ama je jiulize hizo hela kapataje atoe mchanganua watu wamuelewe kama kakopa bank tujue kama kamwaga damu ha hahah hapo ndio balaa dili zingine ukipiga hela huwa haziendelezeki zaidi zaidi labda upige bia cha msingi aende kwenye taasisi za ushauri wa biashara watamsaidia Ila sio humu kuna maharamia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu!sijapata wazo zuri la biashara la kukupa,ila nataka nikushauri Kwani ulisema ulikuwa na wazo la kufanya biashara ya kukopesha then urudishiwe kwa riba..ushauri wng ukitaka kufanikiwa fanya biashara ya halali,Kwani kumbuka pesa inayotokana na riba ni haramu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuja kwenye public kama hv unamilion 15 na kutaka kufanya biashara ya upate 2mil per mouth unataka kutapeliwa ama je jiulize hizo hela kapataje atoe mchanganua watu wamuelewe kama kakopa bank tujue kama kamwaga damu ha hahah hapo ndio balaa dili zingine ukipiga hela huwa haziendelezeki zaidi zaidi labda upige bia cha msingi aende kwenye taasisi za ushauri wa biashara watamsaidia Ila sio humu kuna maharamia

Sent using Jamii Forums mobile app
watu wenye mawazo kama ya kwako mnakufaga masikini.nina mifano hai.
 
Huwezi kuja kwenye public kama hv unamilion 15 na kutaka kufanya biashara ya upate 2mil per mouth unataka kutapeliwa ama je jiulize hizo hela kapataje atoe mchanganua watu wamuelewe kama kakopa bank tujue kama kamwaga damu ha hahah hapo ndio balaa dili zingine ukipiga hela huwa haziendelezeki zaidi zaidi labda upige bia cha msingi aende kwenye taasisi za ushauri wa biashara watamsaidia Ila sio humu kuna maharamia

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamvi hili pia linawashauri makini Mkuu, with respect unachoabiwa ukichanganya na chako unaweza kupata ushauri wa biashara makini tu, ninaowadau waliofanikiwa kwa kuchukua na kuendeleza mawazo ya Humu Jamvini tu.
 
Nafikiri unao mtaji , lakini mtaji pia sio mdogo ila pia sio mkubwa . kila Biashara inahitaji mtaji pesa mtaji wazo ndio wa msingi zaid kuliko pesa, na hapa naona unataka wazo.this is beautiful and interest ing Maswal mengi ya wachangiaji yamejikita kujua were uliwaza nn hadi ukafikiri faida ya mil. 2 kwa mwezi . tambua kwamba high risk high return. Matokeo ya unachowaza nakifahamu . unataka uende kwenye magendo ambayo ndo yanaweza kukupa hiyo faida lakn nakuhakikishia hutavuka kwa utawala huu, Na usisahau wapo wenye mtaji mkubwa kuliko huo watapenda wapate faida hiyo au zaid lakn wanashindwa . yule aliueshaur mazao alilenga vyema ingawa kuna factors. Na challenges . ushauri wangu binafsi naomba ufute kwanza ideology ya 2mil/ month. Kwenye mawazo yako viinginevyo uweke busnes plan mezani tuichambue zaid . ukipendezewa tuwasiliane in box 0712 018998. Good day

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri unao mtaji , lakini mtaji pia sio mdogo ila pia sio mkubwa . kila Biashara inahitaji mtaji pesa mtaji wazo ndio wa msingi zaid kuliko pesa, na hapa naona unataka wazo.this is beautiful and interest ing Maswal mengi ya wachangiaji yamejikita kujua were uliwaza nn hadi ukafikiri faida ya mil. 2 kwa mwezi . tambua kwamba high risk high return. Matokeo ya unachowaza nakifahamu . unataka uende kwenye magendo ambayo ndo yanaweza kukupa hiyo faida lakn nakuhakikishia hutavuka kwa utawala huu, Na usisahau wapo wenye mtaji mkubwa kuliko huo watapenda wapate faida hiyo au zaid lakn wanashindwa . yule aliueshaur mazao alilenga vyema ingawa kuna factors. Na challenges . ushauri wangu binafsi naomba ufute kwanza ideology ya 2mil/ month. Kwenye mawazo yako viinginevyo uweke busnes plan mezani tuichambue zaid . ukipendezewa tuwasiliane in box 0712 018998. Good day

Sent using Jamii Forums mobile app
nilidunduliza ili ninunue kiwanja, niangalie suala la ujenzi..ila nimeishi kwa kujibana sana kwa miaka hii miwili nimeona nikiingia tu kwenye kiwanja kwa sasa nitazika pesa yote ndio maana nikaweka wazo la kutafuta biashara ili atleast in 5 years nianze kujenga..at the same time mambo mengine ya kimaisha yaendelee
 
Forex anza na usd 1000 kila wiki utalala na 500usd
 
Kama Uliweza Kujikusanya ukapata 15m kwa miaka 2.Ni dhairi ulikuwa na malengo yako Binafsi..Tuwekee Hapa plan zako Za kabla tukushauriii.Vinginevyo utakuwa Unatudanganya na pesa za Urithi..Kama ni pesa ya Urithi nakushauli nunua Kiwanja tu.vinginevyo zitaisha ujafanya kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Plan ilikua kiwanja na kuanza ujenzi huku nikiendelea kuajiriwa
 
Back
Top Bottom