Bry N
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 716
- 818
Waje tu bora ukomae na kuajiriwa tu kama kujiajiri hujajipanga vzurwakija wazee wa kujiajiri hapa jiandae teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waje tu bora ukomae na kuajiriwa tu kama kujiajiri hujajipanga vzurwakija wazee wa kujiajiri hapa jiandae teh
Teh mi sijui nitajiajiri lini, sijui ndio nimebweteka na haka ka kazi ka serikali masaa 8 tu kwa wiki kwa naona nipo free mno hata kufanya mambo mengineWaje tu bora ukomae na kuajiriwa tu kama kujiajiri hujajipanga vzur
Asante kaka kwa maelekezo mazuri, mie nina miaka takribani 7 tangu nimeajiriwa kama mwalimu wa sekondari na niko mkoani Mbeya. mara kadhaa nimetamani sana kuwa mfugaji na mkulima zaidi, specifically kuwa na mf:mabwawa ya samaki, kilimo kwa maana ya mbogamboga na matunda. nimeshindwa kuvitekeleza hivi kwa sababu ya capital. hivyo ningetamani kupewa mawazo kwamba yamkini naweza pata namna mbadala ya nini cha kufanya. lakini kwa hakika nikipata chance natamani kuwa na wazo langu.Nadhani pia maelezo yako ungeyajazia nyama nyama, kama huko serikalini unafanya kazi gani na una muda gani tangu uajiriwe, pia upo mkoa gani na kubwa kuliko naamini kuwa kila mwanadamu ana wazo liwe baya au zuri so wewe kabla ya kupewa wazo ulikuwa na wazo gani ili tuone kama litahitaji kurekebishwa au kupewa wazo lingine
Akhsante nawasilisha
Kumbe unafanya kazi serikalini ndio maana unabwabwaja hapa kutetea ujinga wa serikali na ccm yake ghaaaa nimekupuuza maana unatetea ugali wako.yaelekea umeolewa na polepole au kada wa ccm.Teh mi sijui nitajiajiri lini, sijui ndio nimebweteka na haka ka kazi ka serikali masaa 8 tu kwa wiki kwa naona nipo free mno hata kufanya mambo mengine
Dogo acha kukurupuka mamayo!!!
Uwe unasoma unaelewa
mmmhhh!!!!Mimi sio dogo.wewe ni mke wa kada wa ccm na maelezo yako yapo hapo juu.pole sana aliyekuoa maana kapata asara.
Swissme
Tetete ugali wa kada mwenzako na ujifariji na uiinga wakoAsara - hasara
Hujafaidi matunda ya serikali ya ccm nini
Kumbe kadaTeh mi sijui nitajiajiri lini, sijui ndio nimebweteka na haka ka kazi ka serikali masaa 8 tu kwa wiki kwa naona nipo free mno hata kufanya mambo mengine
uko moto 😀😀😀Tetete ugali wa kada mwenzako na ujifariji na uiinga wako
Swissme
Sina haja ya kukuelewa kada wewe.nilijua unatetea serikali kama raia kumbe unatetea ugali wako kada wewe na natumain aliyekuoa ni jambazi la ccm kada mwenzako ipo siku kibarua kitaota na utajitambua tu.Taratibu utanielewa....
Hongera bi mkubwa Kwa kuwa mstaarabu!!uko moto 😀😀😀
Mi ni mhanga wa hii ccm ila inaoneka we umekufwa kabisa pole
mleta thread tusamehe bure mi nasepa hivo samahani kwa kuchafua uzi wako
Mimi nipo shinyanga kahama.Kuna kijiji kina Umeme lkn hakina kabisa Mashine ya kukoboa na kusaga.Watu wake wanapata shida sana ya kwenda vijiji vya mbali.Kama Wazo hili litakufaa pls nakuomba unipm tuongee.Ndugu wadau, naombeni kusaidiwa wazo la kutoka kimaisha. natamani kuacha kazi ya kuajiriwa(serikalini) na kuanzisha (kucreate) business au jambo litakalonifanya nisisubiri malipo ya mwisho wa mwezi. Naomba changia kwa busara
Inabidi ufurahie na uenjoy wengine kazin saa1 asubuh wanatoka saa 1 jion 6day kwa week mpaka kuajiliwa wanaona tabuTeh mi sijui nitajiajiri lini, sijui ndio nimebweteka na haka ka kazi ka serikali masaa 8 tu kwa wiki kwa naona nipo free mno hata kufanya mambo mengine
Asante Bakalemwalitazame soko yaani eneo ulilopo na ujue kipi ni kero kwa eneo ulipo then tafuta tiba ya tatizo hilo, suruhisho la tatizo ilo ndo litakulipa mkuu. kuwa jasiri na mvumbuzi
kichwa ujue kimebeba mengi yasiyooneka,,kuyapata inataka kuumiza kichwa na kufikri nje ya boxAsante Bakalemwa
Usibishane na waswahili kama huyoMimi sio dogo.wewe ni mke wa kada wa ccm na maelezo yako yapo hapo juu.pole sana aliyekuoa maana kapata asara.
Swissme
Una shida nadhani ukiiona id yangu unakunja sura, pole naona nimekufanya uione jf chungu, acha mambo ya ki dada fanya mambo mengineUsibishane na waswahili kama huyo