shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,329
Habari wadau.
Business partner anatafutwa (Project ya maji safi Ubungo)
Mi ni kijana (me) 28yrs, graduate, mjasiriamali na mwajiriwa pia.
Natafuta mtu, Taasisi au Kampuni ya kushirikiana nayo Project ya maji safi Ubungo external.
Nimepata hili wazo baada ya kufanya feasibility study na Swot analysis katika eneo linalonizunguka.
Project hii itafuata vibali vyote halali na taratibu zote zinazotambulika kisheria na kiafya.
Cost za project hii za uwekezaji nimezigawa katika pande kuu mbili.. CAPEX na OPEX ambazo tutashirikina kama partners na tutashare profit and loss of the project 50/50 kama partners.
Binafsi kwenye capital expenditure natoa eneo la mradi, water source ambayo ni kisima drilled 80m nilichokichimba june 2015,, chenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya lita elfu 10 kwa siku za maji chumvi, umeme wa mradi luku inayojitegemea na usimamizi wowote utakahitajika.
Partner upande wake yeye atatoa utaalamu wake wa kusimamia mradi, ku treat maji kuyaondoa chumvi kwa njia atakayoichagua yeye kama ni kufunga oxidizer filter, aeration, reverse osmosis,water softerner, soda ash injection system,,neutralizing filter, iron remover au njia yoyote ta halali inayotambulika kiafya na kiusalama.
Targeted customer wa hii project ni magari ya kuuza maji ( water bowser), wafanyabiashara mabibo hostel, wauza maji kwa mikokoteni, majirani, car washes na wengineo..
Nina imani project itakuwa successful sana kwa kuangalia shida ya maji na mahitaji yaliyopo hili eneo.
SWOT analysis niliyoifanya.
Strength yetu kubwa ipo kwenye location yenye mahitaji kubwa ya maji kuliko supply za uhakika na availability of water aquifer zenye maji mengi wenye hii water well especially wafanyabiashara wa mabibo hostel na magari ya kuuzia maji na majirani.
Weakness ipo kwenye poor technical knowledge on how to treat water kwa unafuu zaidi, Water project management experience, umeme wa tanesco sio wa uhakika..
Opportunities ya kufanikiwa ipo sana n asana maana ni eneo lenye watu wengi sana na sana wateja w haya maji tutakayozalisha daily bila kusahau hotelz na wafugaji wanaoteseka na maji chumvi tu,, maana eneo hili ni maji chumvi tu kwa wenye visima.
Threat kubwa ya huu mradi ni serikali ikifanikiwa kutatua tatizo la maji dar es salaam nzima. Ikitokea muujia serikali iwe inatoa maji 24/7 a day milele kiasi kwamba kila mtu anakuwa na bomba lake kila sehem ambalo halikatiki siku zote.. hapo ni threat kweli kwa biashara japokuwa huu ni muujiza mkubwa sana kwa serikali za Africa kufanya hivyo.
Mtu, Taasisi, Kampuni iliyo interested kushirikiana nami katika hii project inakaribishwa initafute.. nayo ifanye feasibility study yao kwa huu mradi ikiwezekana tushauriane na kushirikiana katika hii project. Namba yangu ni 0658 000106
Nilipanga niifanye mwenyewe yote peke yangu kilichonibana hela zote kwa mara moja peke yangu itanichukua muda mrefu sana kukamilisha peke yangu.
Ninakaribisha pia mawazo ya watu wengine ili ndoto yangu itimie kwa kutengeneza hela huku nikiisaidia jamii pia kupunguza changamoto ya maji kupatikana 24/7 eneo la ubungo na maeneo mengine jirani
The Boss, lara 1, Malila, Mtambuzi, Khantwe, misschaga, na wengine wote mnakaribishwa sana mawazo yenu na kushiriki mradi huu yoyote anaeweza
Business partner anatafutwa (Project ya maji safi Ubungo)
Mi ni kijana (me) 28yrs, graduate, mjasiriamali na mwajiriwa pia.
Natafuta mtu, Taasisi au Kampuni ya kushirikiana nayo Project ya maji safi Ubungo external.
Nimepata hili wazo baada ya kufanya feasibility study na Swot analysis katika eneo linalonizunguka.
Project hii itafuata vibali vyote halali na taratibu zote zinazotambulika kisheria na kiafya.
Cost za project hii za uwekezaji nimezigawa katika pande kuu mbili.. CAPEX na OPEX ambazo tutashirikina kama partners na tutashare profit and loss of the project 50/50 kama partners.
Binafsi kwenye capital expenditure natoa eneo la mradi, water source ambayo ni kisima drilled 80m nilichokichimba june 2015,, chenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya lita elfu 10 kwa siku za maji chumvi, umeme wa mradi luku inayojitegemea na usimamizi wowote utakahitajika.
Partner upande wake yeye atatoa utaalamu wake wa kusimamia mradi, ku treat maji kuyaondoa chumvi kwa njia atakayoichagua yeye kama ni kufunga oxidizer filter, aeration, reverse osmosis,water softerner, soda ash injection system,,neutralizing filter, iron remover au njia yoyote ta halali inayotambulika kiafya na kiusalama.
Targeted customer wa hii project ni magari ya kuuza maji ( water bowser), wafanyabiashara mabibo hostel, wauza maji kwa mikokoteni, majirani, car washes na wengineo..
Nina imani project itakuwa successful sana kwa kuangalia shida ya maji na mahitaji yaliyopo hili eneo.
SWOT analysis niliyoifanya.
Strength yetu kubwa ipo kwenye location yenye mahitaji kubwa ya maji kuliko supply za uhakika na availability of water aquifer zenye maji mengi wenye hii water well especially wafanyabiashara wa mabibo hostel na magari ya kuuzia maji na majirani.
Weakness ipo kwenye poor technical knowledge on how to treat water kwa unafuu zaidi, Water project management experience, umeme wa tanesco sio wa uhakika..
Opportunities ya kufanikiwa ipo sana n asana maana ni eneo lenye watu wengi sana na sana wateja w haya maji tutakayozalisha daily bila kusahau hotelz na wafugaji wanaoteseka na maji chumvi tu,, maana eneo hili ni maji chumvi tu kwa wenye visima.
Threat kubwa ya huu mradi ni serikali ikifanikiwa kutatua tatizo la maji dar es salaam nzima. Ikitokea muujia serikali iwe inatoa maji 24/7 a day milele kiasi kwamba kila mtu anakuwa na bomba lake kila sehem ambalo halikatiki siku zote.. hapo ni threat kweli kwa biashara japokuwa huu ni muujiza mkubwa sana kwa serikali za Africa kufanya hivyo.
Mtu, Taasisi, Kampuni iliyo interested kushirikiana nami katika hii project inakaribishwa initafute.. nayo ifanye feasibility study yao kwa huu mradi ikiwezekana tushauriane na kushirikiana katika hii project. Namba yangu ni 0658 000106
Nilipanga niifanye mwenyewe yote peke yangu kilichonibana hela zote kwa mara moja peke yangu itanichukua muda mrefu sana kukamilisha peke yangu.
Ninakaribisha pia mawazo ya watu wengine ili ndoto yangu itimie kwa kutengeneza hela huku nikiisaidia jamii pia kupunguza changamoto ya maji kupatikana 24/7 eneo la ubungo na maeneo mengine jirani
The Boss, lara 1, Malila, Mtambuzi, Khantwe, misschaga, na wengine wote mnakaribishwa sana mawazo yenu na kushiriki mradi huu yoyote anaeweza
Last edited by a moderator: