BigThinker
Member
- Dec 9, 2020
- 23
- 4
Habari wana jamii!
Nina business idea ya app ya matangazo kama KUPATANA AU JIJI , ila hii idea yangu iko tofauti kidogo na iko very niche. Nahitaji business partner 1 mwenye 2M au 2 wawili kila mmoja ana 1M, na kila mmoja nitampa share ya 40% na 20% nachukua mimi kama mbeba maono.
Kama upo dar ingekuwa poa sana ili tuweze kuonana tuongee vizuri kuhusu hii biashara na namna ambayo tutavyofanya hii biashara.
Mkataba wa kisheria ni lazima sifanyi biashara kienyeji.
contact me : benishogilbert2020@gmail.com
Karibu tubadilishe Tanzania kwenye biashara ya matangazo na kukuza uchumi wa nchi kwa pamoja.
Nina business idea ya app ya matangazo kama KUPATANA AU JIJI , ila hii idea yangu iko tofauti kidogo na iko very niche. Nahitaji business partner 1 mwenye 2M au 2 wawili kila mmoja ana 1M, na kila mmoja nitampa share ya 40% na 20% nachukua mimi kama mbeba maono.
Kama upo dar ingekuwa poa sana ili tuweze kuonana tuongee vizuri kuhusu hii biashara na namna ambayo tutavyofanya hii biashara.
Mkataba wa kisheria ni lazima sifanyi biashara kienyeji.
contact me : benishogilbert2020@gmail.com
Karibu tubadilishe Tanzania kwenye biashara ya matangazo na kukuza uchumi wa nchi kwa pamoja.