Business Partners wanahitajika: Biashara ya Maziwa Fresh & Mtindi

Business Partners wanahitajika: Biashara ya Maziwa Fresh & Mtindi

  • Wanahitajika business partners wawili hadi watatu.
  • Biashara ya kuuza Maziwa Fresh na Mtindi.
  • Biashara itakuwa jumla na reja reja.
  • Vyema ukiwa unaishi Dar es salaam.
  • Mimi nitasimama upande wa upatikanaji wa mzigo hadi kuufikia mzigo Dar.
  • Partners watasimamia usambazwaji wa mzigo Dar es salaam.
  • Mtaji atleast TSH 3,000,000/=.
Plan ni kuuzwa kuanzia lita 1,000/= kwa week.

Kila lita ina gross profit ya Tsh 800/= ambayo inaweza leta net profit ya Sh 600/= ambayo ni TSh 600,000/= kwa kila week.

Wote mnakaribishwa.
Naomba tudiscuss DM
 
Back
Top Bottom