JAY MTAALAM
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 1,595
- 1,388
Waungwana poleni na majukumu!,nakusudia kuanza harakati naomba tujulishane nani amewahi kupata mtaji kamili au kuongezewa mtaji na taasisi ya fedha kupitia 'Business Plan' yake au ndo zimebakia kabatini,karibuni..