Wana Forum ningependa kujua kama hii Business Portal Kama bado inatumika kuombea leseni.
Nimejaribu kufanya application haitoi majibu. Nafahamu fedha nyingi imetumika kutengeneza hii portal na imefanya kazi kwa mda mfupi tu na tumerudi kulekule kwenye manual.
Serikali inajitahidi lakini kuna watendaji wachache wanaiangusha kwa kuangalia maslahi yao binafsi!
Nimejaribu kufanya application haitoi majibu. Nafahamu fedha nyingi imetumika kutengeneza hii portal na imefanya kazi kwa mda mfupi tu na tumerudi kulekule kwenye manual.
Serikali inajitahidi lakini kuna watendaji wachache wanaiangusha kwa kuangalia maslahi yao binafsi!