"Bustani isiyo na mbu" yafunguliwa Chengdu, China

"Bustani isiyo na mbu" yafunguliwa Chengdu, China

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
“Bustani isiyo na mbu”, ambayo ni ya kwanza mjini Chengdu ilifunguliwa. Bustani hiyo inatumia mitego ya mbu, kuanzia usimamizi wa maji na mimea, ili kuangamiza mbu kwenye nyasi na madimbwi.

VCG111394839643.jpg

VCG111394839640.jpg
 
Back
Top Bottom