labda walikuwa wanachat online na relationship ilikuwa ya online na hawakuwahi kuonana,so walipoonana wakaamua waende direct hadi kanisani ila bila hivo kwangu ni ngumu kuamini.
wachumba wawili, raia wa marekani ..........
Ila ni ngumu maana kuonana mara ya kwanza nadhani ngumu kuzuia feelings za kubusianaBado ni ngumu kuamin coz hata kama walikuwa wanachat online , walipoonana kwa mara ya kwanza kbla ya kufka kanisan inamana hawakubusiana kwa furaha ya kuonana? Ni ngumu aisee bt labda...
Ila ni ngumu maana kuonana mara ya kwanza nadhani ngumu kuzuia feelings za kubusiana
Mkuu Exellent hapa upo wrong, hawakuwa na relationship ya online. Hawa walikuwa walimu tena walikuwa wanafundisha shule moja na hapo shule ndipo walipokutana!labda walikuwa wanachat online na relationship ilikuwa ya online na hawakuwahi kuonana,so walipoonana wakaamua waende direct hadi kanisani ila bila hivo kwangu ni ngumu kuamini.
We unadhani kwa nin ilikuwa ngumu? Busu lao la kwanza limepigwa madhabahuni mbele ya Mchungaji na kadamnasi! Amini mkuu? Wewe na mpenz wako iliwachukua muda gani?Bado ni ngumu kuamin coz hata kama walikuwa wanachat online , walipoonana kwa mara ya kwanza kbla ya kufka kanisan inamana hawakubusiana kwa furaha ya kuonana? Ni ngumu aisee bt labda...
Mkuu kibongo bongo hili swala walionaje? Hawa ni wamarekani tena walimu, si matajiri hawa! 3 years duh!Mbona ya kawaida hayo! Upate mwanamke milionea na unakusudia kupata senti zake kupitia ustaarabu kwa nini ushindwe kumsubiri hata kama ni miaka kumi (10yrs). Ukiona hivyo ujue hawavutiani sexually. Otherwise, si kukiss tu bali wangechapana kabisa. Walokole wenyewe wanaonjana na kusema ni pepo halafu wanamkemea (Pepo) baada ya kufika kileleni na kumaliza haja zao iweje hao watu wa f*****g all times weweze kirahisi bila ajenda za siri? Ni mtazamo tu.
We unadhani kwa nin ilikuwa ngumu? Busu lao la kwanza limepigwa madhabahuni mbele ya Mchungaji na kadamnasi! Amini mkuu? Wewe na mpenz wako iliwachukua muda gani?
KWA NINI HUAMINI? Hebu nipe japo sababu 5 zinazokufanya huamini nami nisiamini!