Busu kwa mara ya kwanza, baada ya miaka mitatu, (1st kiss afta 3 years in relationship)!

Busu kwa mara ya kwanza, baada ya miaka mitatu, (1st kiss afta 3 years in relationship)!

kama unafata dini yako kwa ukaribu, na dini inakataza hayo mambo, basi huwezi busu mpaka siku ya siku, lakini uhusiano wetu huu wa kimataifa ! wala haiwezekani, mkianza kupendana tu, unatamani ku taste kiss ya mpenzi wako inakuwaje
 
kama unafata dini yako kwa ukaribu, na dini inakataza hayo mambo, basi huwezi busu mpaka siku ya siku, lakini uhusiano wetu huu wa kimataifa ! wala haiwezekani, mkianza kupendana tu, unatamani ku taste kiss ya mpenzi wako inakuwaje
Ni jambo la kustaajabu eeh?
 
Mbona ya kawaida hayo! Upate mwanamke milionea na unakusudia kupata senti zake kupitia ustaarabu kwa nini ushindwe kumsubiri hata kama ni miaka kumi (10yrs). Ukiona hivyo ujue hawavutiani sexually. Otherwise, si kukiss tu bali wangechapana kabisa. Walokole wenyewe wanaonjana na kusema ni pepo halafu wanamkemea (Pepo) baada ya kufika kileleni na kumaliza haja zao iweje hao watu wa f*****g all times weweze kirahisi bila ajenda za siri? Ni mtazamo tu.
Mkuu kibongo bongo inakuwaje? Hata walokore sidhan km ni wavumilivu kiasi hicho, sidhan km wanaweza!
 
ina tegemea na watu wenyewe wamelelewaje, kwangu mie kiss ni kitu cha kwanza kujua kama tumeclick sijui kwa nn
 
Mmmhhhh tahhh
Yabidi unipe number
Kama wa sasa ni wewe na jibu unalo ....
 
hapa sina hata la kusema ....i see hawa ina maana walikuwa hawaonani ..ama wakikaa pamoja wanaongea siasa ..no mvuto mwingine au??
 
Back
Top Bottom