Wakuu kitu kizuri ule na wenzako! Tuna Kampuni ya masuala ya "Technologies & General Supply", ni Limited Company by shares. Hadi sasa ina Wakurugenzi wawili tu!
Imesajiliwa kwa taratibu zote za kisheria tangu mwaka jana mwezi August pale Brela, na baada ya kukamilisha nyaraka nyingine muhimu ilianza kazi rasmi mwezi Novemba mwaka jana (2013), kule mkoani Tabora, wilaya ya Urambo. Imepanga nyumba nzima, mtaa wa boma village, barabara ya salama.
Kampuni imesajiliwa kufanya biashara mbali mbali (za kiteknolojia na masuala mengine mbali mbali kama vile usambazaji wa bidhaa, usafirishaji, utalii, madini, kilimo, ujenzi, ukandarasi, ununuzi wa mazao n.k) popote pale nchini. Kwasasa tumejikita katika maeneo machache sana kutoka na changamoto za mtaji kutokuwa mkubwa sana, kwahivi tuna karibisha partnership na kampuni yeyote ile ama mtu binafsi tutakayeweza kushirikiana naye katika maeneo mengine ya kibiashara!
(Unaweza pia kutembelea ukurasa wetu wa facebook ukajionea baadhi ya shughuli tunazozifanya kwa sasa)
Kwa mawasiliano zaidi; 0755 732 981 /0784 324 102
Barua pepe;
info@mihambos.com
Tovuti;
Mihambos
Karibuni Sana.
(Mods please, naomba u edit Title yangu hapo juu, ni Business Partner wakuu!)