Ndo tatzo la ktokjua sheria sio kila ktu ukiona mpmbavu kaandka kwa ushabiki maandzi na ww uandkeMwaka wa jana bodi ya ligi iliwatia kitanzini Kaseke na Chirwa kwa lengo la kusaidia klabu mojawapo lalamishi kutwaa ubingwa. Jaribio hill lilifeli. Msimu huu kijana machachari awapo uwanjani Buswita amefungiwa mwaka mmoja na TFF katika mazingira ya kutia shaka. Hebu soma makala hii kama ilivyo andikwa na Anjetile Osia. It is an eye opener.
BUSWITA ANA ADHABU YA KIPEKEE DUNIANI. INASHANGAZA!
Mkuu, nadhani kuna mahali hujaelewa kilichosemwa.Mtoa mada analengo la kupotosha kwa makusudi.
1.Hivi ni kweli hajui kuwa TMS na mkataba ni vitu viwili tofuati na vyote vina utaratibu wa kuvingoza tofautitofauti?
2.Hivi wakati Yanga inaadhibiwa kwa kumsajili Hassan Kessy huku akiwa ndani ya mkataba na klabu nyingine hajui kuwa Kessy alikuwa kwenye 'TMS' moja tu ya Yanga?
3. Ni kweli Angetile hajui maana ya mkataba, binding yake na impact ya ukiukwaji?
4. Ana tatizo na kanuni yenyewe? ukubwa wa kifungo, au tasfiri iliyolepelekea uamuzi wa kumfungia?
5. Alikuwa wapi mwaka jana wakati William Lucian na Saidi Mkopi wanafungiwa na kosa hilihili la Pius Buswita? Mbona hakuandika makala, mbona hakuchambua kanuni?
Hahaha kwa matakwa ya sheria ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania (TFF)Mwaka wa jana bodi ya ligi iliwatia kitanzini Kaseke na Chirwa kwa lengo la kusaidia klabu mojawapo lalamishi kutwaa ubingwa. Jaribio hill lilifeli. Msimu huu kijana machachari awapo uwanjani Buswita amefungiwa mwaka mmoja na TFF katika mazingira ya kutia shaka. Hebu soma makala hii kama ilivyo andikwa na Anjetile Osia. It is an eye opener.
BUSWITA ANA ADHABU YA KIPEKEE DUNIANI. INASHANGAZA!
Lakini pia mleta mada naona umekuja kwa utimu sio kujadili kwa ajili ya mafanikio ya mpira wetu nchini.Mwaka wa jana bodi ya ligi iliwatia kitanzini Kaseke na Chirwa kwa lengo la kusaidia klabu mojawapo lalamishi kutwaa ubingwa. Jaribio hill lilifeli. Msimu huu kijana machachari awapo uwanjani Buswita amefungiwa mwaka mmoja na TFF katika mazingira ya kutia shaka. Hebu soma makala hii kama ilivyo andikwa na Anjetile Osia. It is an eye opener.
BUSWITA ANA ADHABU YA KIPEKEE DUNIANI. INASHANGAZA!
Mtoa mada analengo la kupotosha kwa makusudi.
1.Hivi ni kweli hajui kuwa TMS na mkataba ni vitu viwili tofuati na vyote vina utaratibu wa kuvingoza tofautitofauti?
2.Hivi wakati Yanga inaadhibiwa kwa kumsajili Hassan Kessy huku akiwa ndani ya mkataba na klabu nyingine hajui kuwa Kessy alikuwa kwenye 'TMS' moja tu ya Yanga?
3. Ni kweli Angetile hajui maana ya mkataba, binding yake na impact ya ukiukwaji?
4. Ana tatizo na kanuni yenyewe? ukubwa wa kifungo, au tasfiri iliyolepelekea uamuzi wa kumfungia?
5. Alikuwa wapi mwaka jana wakati William Lucian na Saidi Mkopi wanafungiwa na kosa hilihili la Pius Buswita? Mbona hakuandika makala, mbona hakuchambua kanuni?