Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Mwaka wa jana bodi ya ligi iliwatia kitanzini Kaseke na Chirwa kwa lengo la kusaidia klabu mojawapo lalamishi kutwaa ubingwa. Jaribio hill lilifeli. Msimu huu kijana machachari awapo uwanjani Buswita amefungiwa mwaka mmoja na TFF katika mazingira ya kutia shaka. Hebu soma makala hii kama ilivyo andikwa na Anjetile Osia. It is an eye opener.
BUSWITA ANA ADHABU YA KIPEKEE DUNIANI. INASHANGAZA!
BUSWITA ANA ADHABU YA KIPEKEE DUNIANI. INASHANGAZA!