Butiama komesheni hii mila ya tohara kwa wanaume kwa kutumia kisu tena mbele ya kadamnasi

Butiama komesheni hii mila ya tohara kwa wanaume kwa kutumia kisu tena mbele ya kadamnasi

No SQL

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2014
Posts
7,063
Reaction score
12,563
Jana nilkuwa misele katika kijiji kimoja huko Butiama na kukuta maandalizi ya sherehe Jumamosi hii, nikajaribu kuuliza nipate undani wa sherehe hizo, nikaambiwa ni vijana wanaenda kukatwa 'mkono wa sweta' mnadani, duh! unakatwa govi mbele ya kadamnasi?

Huu ni ukatili wa kijinsia na pia si salama kiafya.

Wahusika komesheni hii kitu
 
Wazee tunasemaga....
Ngariba haogopi mkojo...🤣
 
Ukikatwa unapewa ukitafune.
Huo ndio uanaume.
 
Back
Top Bottom