Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yupo CCMTumaini makene mmempeleka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo CCMTumaini makene mmempeleka wapi?
Upo sahihi snNaomba nirudie tena ninachokiamini. Chadema haina tatizo na wafuasi pamoja na wapiga kura. Hata uchaguzi ukifanyika leo chadema itapata kura nyingi mara 20 ya zile za ccm.
Tatizo liko kwenye tume ya uchaguzi. Tatizo Hilo losiposhughulikiwa hata kiungwe mkono na watanzania wote kasoro naibu waziri mkuu itakuwa kazi bure.
Nami naomba nisisitize na kuwek a mkazo kabisa, hii ni hofu tu; dhana isiyokuwa na nguvu tena.Tatizo liko kwenye tume ya uchaguzi. Tatizo Hilo losiposhughulikiwa hata kiungwe mkono na watanzania wote kasoro naibu waziri mkuu itakuwa kazi bure.
Mwalimu mtupu! HahahaaKusema ukweli Mbowe siasa ipo kwenye damu
CCM hawaamini hilo linawezekana.Ya Gabon yatajibu
NakubaliNaomba nirudie tena ninachokiamini. Chadema haina tatizo na wafuasi pamoja na wapiga kura. Hata uchaguzi ukifanyika leo chadema itapata kura nyingi mara 20 ya zile za ccm.
Tatizo liko kwenye tume ya uchaguzi. Tatizo Hilo losiposhughulikiwa hata kiungwe mkono na watanzania wote kasoro naibu waziri mkuu itakuwa kazi bure.
Kitu unachokijua huwa hutumii nguvu sanaKusema ukweli Mbowe siasa ipo kwenye damu
mamayaTumaini makene mmempeleka wapi?
😆😆😆😆mamaya
naam!!Wana CCM wameanza kumgeuka mama yao kuhusu kuruhusu hii mikutano na kuwapa ruzuku CDM, wanaomba mikutano iwe marufuku na ruzuku wairudishe yote sababu waliikataa mwanzani.
Kazi ni kubwa wazalendo wenzangu, tunakaribia kuzikuta nyama wacha tuendelee na mchuzi.