Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Kwa kaka zangu shemeji yenu butogwa shija anaumwa sana aisee yaan hata ongea yake siyo nzur aisee, nimeongea naye leo lakin kasema anaumwa mafua hivyo yaan hajisikii vizur kabisa kitu kinachoniumiza kichwa sana mie
Kwa dada zangu wifi yenu butogwa shija anaumwa sana jaman maombi yenu jaman ili wifi yenu apate ahuen
Hasa anasumbuliwa na mafua jama
Kama mnavuojua butogwa shija ndo mchumba wangu ambaye nasubili amalize shule nichukue mzigo niweke ndan kabisa
Maana nikiweka ndan kutakuwa hakuna shida si unajua ana ajira moja kwa moja pale CRDB BANK hivyo itakuwa ni mwendo wa bata batan tu yaan
LONDON BOY
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Kwa kaka zangu shemeji yenu butogwa shija anaumwa sana aisee yaan hata ongea yake siyo nzur aisee, nimeongea naye leo lakin kasema anaumwa mafua hivyo yaan hajisikii vizur kabisa kitu kinachoniumiza kichwa sana mie
Kwa dada zangu wifi yenu butogwa shija anaumwa sana jaman maombi yenu jaman ili wifi yenu apate ahuen
Hasa anasumbuliwa na mafua jama
Kama mnavuojua butogwa shija ndo mchumba wangu ambaye nasubili amalize shule nichukue mzigo niweke ndan kabisa
Maana nikiweka ndan kutakuwa hakuna shida si unajua ana ajira moja kwa moja pale CRDB BANK hivyo itakuwa ni mwendo wa bata batan tu yaan
LONDON BOY