Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Mimi naomba kama kuna mtu humu ndan anafahamiana na dada huyu aitwaye butogwa shija amwambie ninampenda jaman
Kwanza tiar ana ajira bank ya CRDB walishamwahidi ajira kitambo sana
Mimi niko na wewe butogwa bega kwa bega
Nakupenda sana ujue butogwa
Ukimaliza masomo yako wewe nambie mimi niko tiar kubeba mzigo
Usibabaike na hawo wana ume wa dar wala chips njoo kwangu mimi ni mwanaume wa mwanza ngosha imara
LONDON BABY
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Mimi naomba kama kuna mtu humu ndan anafahamiana na dada huyu aitwaye butogwa shija amwambie ninampenda jaman
Kwanza tiar ana ajira bank ya CRDB walishamwahidi ajira kitambo sana
Mimi niko na wewe butogwa bega kwa bega
Nakupenda sana ujue butogwa
Ukimaliza masomo yako wewe nambie mimi niko tiar kubeba mzigo
Usibabaike na hawo wana ume wa dar wala chips njoo kwangu mimi ni mwanaume wa mwanza ngosha imara
LONDON BABY