Sijaona akili yake hata moja!Hahaaa kunipa matunzo mkuu unajua kosea njia usikosee kuoa
Na akili za watoto huwa zinatoka kwa mama zao sasa wewe oa mwanamke mbumbubu na watoto nao watakuja kuwa mbumbubu
Si unajua huyu dada ana akili sana
[emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Hapana mkuu usinifananishe na watu wa dar wala chips
Daahh hawa wasukuma jmn wasije mjini[emoji3][emoji3][emoji3]Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Mimi naomba kama kuna mtu humu ndan anafahamiana na dada huyu aitwaye butogwa shija amwambie ninampenda jaman
Kwanza tiar ana ajira bank ya CRDB walishamwahidi ajira kitambo sana
Mimi niko na wewe butogwa bega kwa bega
Nakupenda sana ujue butogwa
Ukimaliza masomo yako wewe nambie mimi niko tiar kubeba mzigo
Usibabaike na hawo wana ume wa dar wala chips njoo kwangu mimi ni mwanaume wa mwanza ngosha imara
View attachment 621839
LONDON BABY
Hata wewe una moyo [emoji12] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yani huyo ata siwezi kuangalia mara mbili watu wana moyo
namjuaaa ila anasura ya bab yakeSana tu mkuu kumbe na wewe unamjua
DuuPlus DJ sepetu!!......mnakula wake za watu humu JF!!