Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

Ni taahira lile! Lenyewe lilidhani likisema ujinga ule labda wananchi watalipenda na kuiunga mkono chagadema, kumbe ndio limeharibu kabisaa! Hao wazanzibar wenyewe hawaitaki chadema wanadai ni ya wakristu!

kwahiyo wanaipenda ccm kwa kuwa ni ya waisilamu
 

sina uwezo wakumlazimisha punda kunywa maji,
pia sina uwezo wa kukuondoa katika hali yako ya ushoga na kukurudisha kuwa mwanaume wa kweli
 
TL laana yake itaanzia kanisani kwake RC, ambako wako ktk kampeni ya kumueweka Mwl. Nyerere ktk daraja la watakatifu. leo analisaliti kanisa sidhani kama watakubaliana na kashfa hii. Na tusubiri.
 
Hata kama angefanya mazuri namna gani, katika uzuri wake tutayaongea hayo mazori kwa sifa stahiki na katika mambo yake mabaya na ya hovyo tutayaongelea vivyo hivyo kwa ukali na uzito stahiki.
Unataka ajipofue ili aonekane intelligent? Ikibidi kudharirika kwa ajili ya kuongea ukweli basi na iwe hivyo. Lakini kutafuta sifa za kijinga ukijua kabisa kuwa umefanya unafiki hilo si sawa.
 

Ila amefanya vizuri kwa sababu ameusaida umma wa wa-Tanzania kuongeza jina kwenye idadi ya watu wanaojulikana kuwa walifurahi baada ya Mwalimu kuwa amefariki!
 
duniani kote sijawahi ona mtu anakashfu viongozi wao wakuu/wa awali kwani hawatokubaliwa. Huyu mtu alipaswa kunyang'anywa nyadhifa zote za kisiasa na wananchi. Na ninahisi kesha fika mwisho kisiasa, hatuezi kua na kiongozi mropokaji ka huyu ns tumuangalie tu.
 

Nasema ameleta kashfa kwa Kanisa Katoliki tunaepigania Mwl aingie ktk daraja la wenye Kheri, kwa kuanzia nataraji kanisa limtenge.
 
kwa mantiki yako mtu Intelligent ni yule anayeitikia - YES, YES Mzungu kala fenesi kwa kila jambo analoambiwa na BOSI wake kama ulivyo wewe ili atunze ujira wake - ( uchumia tumbo).

Mtu yeyote anayejenga hoja na kutoa takwimu sahihi juu ya udhaifu wa Muungano wetu na kutoa mfumo sahihi wa kuuboresha basi huyo ni msaliti? kwa style hii Tanzania hamtafika popote.

Sishangai na ndiyo maana mnasanishwa mikataba lukuki na wawekezaji hata hamjui kilichoandikwa humo ndani ni nini ila mnapitisha tu kwa ushabiki ushabiki.
 
Kivipi mkuu.....!?
Funguka uzuri mbona nusu nusu ama pana khofu fulani....?

Hapa khofu mkuu....

TL angejenga hoja zenye kudhihirisha nyerere ni dhaifu lakini kukimbilia kumkashifu yeye binafsi ni kuamsha migogoro kwa wafuasi wa Nyerere...

Ikumbukwe ni hao hao chadema wanaohubiri nyerere ni mtu safi Leo kumtusi vile kutawagharimu mbeleni...

Hii ni kama Leo mtu aache kujadili matendo ya mtume S.A.W na kumtusi hii inaweza amsha jasira za wafuasi wake wakaacha kujadili hoja na kujadili matusi ya mtoa hoja...

Nilikuwa na mtazamo huo mkuu
 

Shukraan,
Kwa hisani yako naomba tuishie hapo katika hiko kipengele kwa wema maana yule Kenge Nyerere kumfananisha na hoyo mkubwa ulojaribu kunichokonoa naona itakuwa mdahalo tena..!?

Sipingi kwamba hakuwa na mazuri yake la hasha wakallaa lakini twatizama athari zake na wale ambao hawataki ati akosolewe ca'se he was innocent for which/what and how...!?

Huo mfano wako ni sawa na yule alikijisaidia Machakani au wangine twamwita Yesu.

Shukraan kwa kunisikiza nduu yangu japo utaniletea huenda viroja.

Ntarejea.
 

Mkuu nimetoa mfano tu kuwa kuna watu wanamuona nyerere kama mtakatifu kama vile wakristo wamuonavyo yesu...

Halafu point kubwa ilikuwa ni kushangaa chama cha kanisa kumtukana baba yao nyerere...

Hapo vipi mkuu umenisoma?
 

Kwani ameshashindwa?
 
Hivi huyu jamaa Bw.Tundu ni Mbunge wa Jimbo la Masaki? Mbona sijawahi kumsikia hata siku moja akiongelea Jimbo lake Bungeni? Kila akiongea yeye ni masuala ya Kitaifa tu. Je, Jimbo lake halina Matatizo?

Sijawahi kusikia kama wengine huwa wanaongelea matatizo ya Majimbo yao Bungeni kama Mbunge wangu Bi.Mdee huwa anaongelea mara moja moja kuhusu Jimbo letu, au Bw.Mnyika huwa namsikia akiwakilisha Ubungo, hata Bw.Lema huwa nasikia akiwakilisha Arusha Bungeni lkn huyu Jamaa (Bw.Tundu) sijawahi kumsikia akiongelea Masuala ya Jimbo lake, sasa Je, Jimbo lake ni kama Masaki (Dar)?
 
Mimi siku zote uwa nadhania kuwa mtu intelligent uwa anasolve tatizo kwa njia ya busara na si kuleta ubishani usio na faida na kupoteza muda....
 
Siyo kwamba Tundu Lisu hajui madhara ya matamko yake juu ya Mwl, Nyerere, amelewa sifa ya kuitwa mwanasheria maarufu, hasa hasa alivyoambiwa hivyo na Rais Kikwete.
Mtanzania halisi
 
Watu wawili waliokataliwa na nyerere lakini leo hii wako kwenye daraja za juu ni jm kikwete na e n lowasa.na ccm wanaweza kumpitisha lowasa kugombea uraisi 2015
 
Lissu amejipoteza kwenye siasa za Tanzania kwa kumtusi Nyerere na amezidi kuizamisha chadema kwenye ramani ya siasa za bongo...ni suala la muda tu..subirini upepo upite
Hakuna kitu km iko,Lissu ana akili kupita Nyerere tena sana tu maana JK aliexist wakati wabongo wengi ni mambumbumbu na siku zake za mwisho alianza kupwaya maana wabongo walianza kumchallenge.....but Lisu anatoa hoja mbele ya wabongo walioelimika na mnamsikiliza kwa hamu na umakini kama mnasubili majibu ya interview!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…