Bwagala na hospital ya morogoro nani anahusika na kifo cha dada huyu?

Bwagala na hospital ya morogoro nani anahusika na kifo cha dada huyu?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kuna taarifa za kufariki mama mjamzito ambaye pia ni nesi. Mdada Huyo alifia hospitalini baada ya madaktari kumuonyesha Kwenye mashine kwamba mtoto wake hachezi na ameshakufa. Mbaya zaidi dada Huyo ni mtu wa medical kwahiyo alipoona tu Kwenye scrini kwamba mtoto wake kafa akapatwa na bp nae akafariki. Wasingemuonyesha probably angekuwa hai maana wangemuoparet salama bila matatizo.
 
Mengi ya aibu nashindwa hata kuyasema acha nifunge mdomo wangu!
 
Pengine marehemu nae alikua mbishi kwakuwa ni mtu wa medical akataka ashiriki
 
Kuna taarifa za kufariki mama mjamzito ambaye pia ni nesi. Mdada Huyo alifia hospitalini baada ya madaktari kumuonyesha Kwenye mashine kwamba mtoto wake hachezi na ameshakufa. Mbaya zaidi dada Huyo ni mtu wa medical kwahiyo alipoona tu Kwenye scrini kwamba mtoto wake kafa akapatwa na bp nae akafariki. Wasingemuonyesha probably angekuwa hai maana wangemuoparet salama bila matatizo.
Lawama za kijinga
 
Mengi ya aibu nashindwa hata kuyasema acha nifunge mdomo wangu!
unatakiwa uyaseme sasa ukiyaficha itasaidia nini?
na kwa nini useme uma mengi halafu unyamaze?
si ni bora ungekaa kimya tuu kuliko kuishia njiani hivi. kama unaogopa sema nami private tutayaweka hapa.

Na hili ndio linasababisha matatizo kama haya ya uzembe yaendelee kuwepo, umeona jamaa juzi kaandika humu kuhusu tairi ya bombadia na mamlaka imekuja kujibu.
 
unatakiwa uyaseme sasa ukiyaficha itasaidia nini?
na kwa nini useme uma mengi halafu unyamaze?
si ni bora ungekaa kimya tuu kuliko kuishia njiani hivi. kama unaogopa sema nami private tutayaweka hapa.

Na hili ndio linasababisha matatizo kama haya ya uzembe yaendelee kuwepo, umeona jamaa juzi kaandika humu kuhusu tairi ya bombadia na mamlaka imekuja kujibu.
Kama nikijaribu ntachekwa na dunia nzima!
 
Kuna taarifa za kufariki mama mjamzito ambaye pia ni nesi. Mdada Huyo alifia hospitalini baada ya madaktari kumuonyesha Kwenye mashine kwamba mtoto wake hachezi na ameshakufa. Mbaya zaidi dada Huyo ni mtu wa medical kwahiyo alipoona tu Kwenye scrini kwamba mtoto wake kafa akapatwa na bp nae akafariki. Wasingemuonyesha probably angekuwa hai maana wangemuoparet salama bila matatizo.
Taarifa yako haijakaa vizuri....
MEDICINE ni shughuli tofauti....sio political science...

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Kwani israeli mtoa roho za watu yupo likizo??!
 
Patient has right to know his/her diagnosis it's better to find the cause of her death badala ya kuanza kutafuta nani mbaya.
So assume ukija Hosp ukipigwa X rays Dr anaweza kuamua kushare na wewe same same to Abd Ultrasound kama ni medical personee Dr anaweza kuamua kukuonyesha.
 
Back
Top Bottom