Bwana akasema, ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-Gileadi akaanguke?

Bwana akasema, ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-Gileadi akaanguke?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

To start with, Kila kiongozi na Kila mwanasiasa na ajue ya kuwa uchaguzi ni vita, na kiongozi yeyote ashindaye, anabeba sura ya Mungu au miungu iliyompa uwezo kukaa katika KITI chochote Cha mamlaka.

(1 Wafalme 22: 19-20)Says:
19: Mikaya akasema, sikia basi neno la BWANA, Nalimwona BWANA ameketi katika KITI chake Cha enzi, na jeshi lote la Mbinguni wamesimama upande wa mkono wake wa kiume na WA kushoto.

20: BWANA akasema, ni nani atakayemdanganya Ahabu, Ili akwee Ramoth -Gilead aanguke?

21: Akatoka Pepo akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya,

22: BWANA akasema jinsi Gani? Akasema, nitaondoka kuwa Pepo wa UONGO kinywani mwa manabii wake wote, akasema, Utamdanganya na kudiriki pia.

......Mwisho wa kunukuu......

Mwezi huu November, tayari tumekwisha uingia mwaka wa uchaguzi 202v,

Wanaopanga kuingia vitani/ katika uchaguzi ujao, Hasa waliokalia viti, wanatamani kurudi tena vitani Ili washinde na kurudi kuvikalia viti hivyo katika nafasi mbalimbali.

Waaminio miungu wanarudi Kwa miungu na Kutoa sadaka Ili kupata RUHUSA katika Roho kabla ya Uchaguzi, na wamwaminio Mungu mkuu, Mungu wa miungu pia wanarudi kuomba na Kutoa sadaka kwake pia.

Sasa Mungu amekwisha Sema kupitia vinywa vya manabii wake kuwa "Usiende vitani" lakini sauti ya Mungu mnaipuuza, mnaenda Kwa miungu na miungu hiyo inapewa Ruhusa na Mungu wa miungu Ili iwadanganye kupitia vinywa vya manabii wa UONGO isemayo, "endelea", "utashinda",

Ni kheri kusikia sauti ya Mungu na kuacha kuingia vitani, maana vita hiyo hutashinda.

Swali linabaki kuwa, Je Ahabu ataisikiliza sauti ya Mungu kupitia Nabii wake Mikaya, au ataisikia sauti ya Pepo kupitia kinywa Cha manabii Hawa wa uongo wasemao "Nenda vitani utashinda, hakuna kama wewe, una Kila silaha na uwezo na mamlaka"?

Mbingu zinaangalia mchezo unavyokwenda🤔

Hongera sana Donald Trump, umeshinda vita sababu Mungu alisema utashinda na imekuwa, Nyikani Inakuja pia.

Karibuni🙏
 
Swali linabaki kuwa,

Ahabu alirudi Toka vitani akiwa mfalme aliyeshinda au nini kilitokea?

Cc johnthebaptist
 
Wakati hayo yakijiri,

Kijana machachari CR wa Arusha, ameibukia Kwa Nabii Kapola na kupakwa mafuta akidai naye ana jambo lake, lini ?na Kwa nafasi ipi?, na ameruhusiwa na Mungu au miungu?, hayo Bado kufahamika.

Tusubiri.
 
Waumini wa mchungaji mashimo mnaona mnajuaaa
 
Waumini wa mchungaji mashimo mnaona mnajuaaa
Kabla ya kuingia vitani/ ktk chaguzi zijazo, nendeni, muulize Mungu kupitia manabii wake wa Kweli ikiwa mna kibali kuingia vitani kugombea au la,

Tofauti na hapo, mnapoteza pesa Bure kuhonga,

This time around, Waganga hawatomsaidia kiongozi yeyote kushinda uchaguzi ujao maana Mungu mwenyewe atakuwa mwangalizi wa Uchaguzi,

Na amtakaye, ndiye atashinda vita.

Tusubiri 🙏
 
Kabla ya kuingia vitani/ ktk chaguzi zijazo, nendeni, muulize Mungu kupitia manabii wake wa Kweli ikiwa mna kibali kuingia vitani kugombea au la,

Tofauti na hapo, mnapoteza pesa Bure kuhonga,

This time around, Waganga hawatomsaidia kiongozi yeyote kushinda uchaguzi ujao maana Mungu mwenyewe atakuwa mwangalizi wa Uchaguzi,

Na amtakaye, ndiye atashinda vita.

Tusubiri 🙏
Mungu hapangiwi
 
Mungu hapangiwi
Ni Kweli hapangiwi, ndiye apangaye na asemaye " Usiende vitani"

Sasa endeleeni kusikiliza sauti ya mapepo kupitia Hawa manabii wa UONGO.

Kama ambavyo risasi haikuweza kuzuia kusudi la Mungu kutimia US, vivyo hivyo, hayupo wa kumzuia Yehu kurudi kuimalizia KAZI njema aliyoianza Hayati Magu.

Tusubiri 🙏
 
Ni Kweli hapangiwi, ndiye apangaye na asemaye " Usiende vitani"

Sasa endeleeni kusikiliza sauti ya mapepo kupitia Hawa manabii wa UONGO.

Kama ambavyo risasi haikuweza kuzuia kusudi la Mungu kutimia US, vivyo hivyo, hayupo wa kumzuia Yehu kurudi kuimalizia KAZI njema aliyoianza Hayati Magu.

Tusubiri 🙏
Mapepo ni wale wachungaji wanaoandamana na chadema, ni majitu ya hovyo, matapeli
 
Unaandika maneno ya Mungu na kuchanganya na siasa+viongozi wa kiafrika, kwamba Mungu anahusika kwenye uwepo wao, is it really?.
 
Mapepo ni wale wachungaji wanaoandamana na chadema, ni majitu ya hovyo, matapeli
Kuna Nabii mmoja, Pepo Yeye Kila atakapoenda lazima zitokee ajali na watu wafe Ili miungu ipokee Damu kumuandaa wanaomtaka wale wa gizani.

Sasa tusubiri kuona nani atashinda kati ya Mungu na miungu.
 
Unaandika maneno ya Mungu na kuchanganya na siasa+viongozi wa kiafrika, kwamba Mungu anahusika kwenye uwepo wao, is it really?.
Ndio,

Waulize viongozi wanaokalia viti kisiasa kuongoza watu Kwa niaba ya Mungu ikiwa Huwa wanasikia sauti ya Mungu kupitia NDOTO au maono au la?
 
Kuna Nabii mmoja, Pepo Yeye Kila atakapoenda lazima zitokee ajali na watu wafe Ili miungu ipokee Damu kumuandaa wanaomtaka wale wa gizani.

Sasa tusubiri kuona nani atashinda kati ya Mungu na miungu.
Unamuonea wivu Mwamposa, wewe endelea kutembea kwa miguu, utapeli wako umekwama. Juzi ulikuwa unashusha magunia ya viazi tandale leo unatapeli watu kujiita mchungaji
 
Unamuonea wivu Mwamposa, wewe endelea kutembea kwa miguu, utapeli wako umekwama. Juzi ulikuwa unashusha magunia ya viazi tandale leo unatapeli watu kujiita mchungaji
Una ugomvi binafsi na uliyemtaja?
 
Wewe umemtaja kinafiki, na suti zako za kushona kwa mafundi njaa
Hii ni vita ya kiroho Si ya kimwili, kuwa makini.

Uchaguzi ujao katika Ulimwengu wa Roho tunaufanya sasa na kumtangaza mshindi.

Sasa wewe wa mwilini/ mtegemea miungu na mapepo subiri yajayo.
 
Hii ni vita ya kiroho Si ya kimwili, kuwa makini.

Uchaguzi ujao katika Ulimwengu wa Roho tunaufanya sasa na kumtangaza mshindi.

Sasa wewe wa mwilini/ mtegemea miungu na mapepo subiri yajayo.
Acha utapeli, unakula ruzuku ya chadema tu, wa kiroho utakuwa wewe, hata mapepo huwezi toa, labda kutoa mashuzi tu
 
Acha utapeli, unakula ruzuku ya chadema tu, wa kiroho utakuwa wewe, hata mapepo huwezi toa, labda kutoa mashuzi tu
Ajaye yupo chama Cha kijani Kwa sasa, hao uliowataja wataokota dodo ikiwa mtamkataa aliyepewa ruhusa kuingia vitani.
 
Ajaye yupo chama Cha kijani Kwa sasa, hao uliowataja wataokota dodo ikiwa mtamkataa aliyepewa ruhusa kuingia vitani.
Ukienda kwenye kesi yako Singida huwa unalala nyumbani kwa Lissu kwenye stoo?
 
Back
Top Bottom