Bwana HESLB anakuja.!

Mmmh hii kali jamani hivi humu ndani kila post lazima mtukanane na kujibizana kwanini?
 

Nimeacha kulumbana but mm siwezi kukosa kusoma UCLAS coz sifa za kusoma pale ninazo..na pia mm ni PCM pure so plz kaa kimya coz huyo niliekua nalumbana nae nimeshamuomba msamaha na yameisha so wewe sijui unaloyafuta ni nini..naomba ufunge domo sipendi SHOBO
 
Last edited by a moderator:
Hivi nyinyi mnaotoa lugha ya matusi katika kijiji hiki cha wanajamii ,mnazani wote wanaoishi humu wapo hivyo kama cha kuandika huwa mnakosa BASI MUWE MNASOMA TU YA WEZENU au MUHAMIE KWENYE VIJIJI VYENYE WAZAWA WENYE TABIA HIYO.tuwe na staha ,hekima na busara kwani katika jamii inayoishi humu inamatabaka tofauti ya kiumri.asanteni kama mtanielewa na kuacha kuandika maandishi kama hoyo 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…