Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
nikidisco mm bas ujue class mzima imeshadisco..
Blassphemy.....mungu hapendi namna hii...
Naamini ameshakusamehe maana mungu wetu ni wa huruma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikidisco mm bas ujue class mzima imeshadisco..
Eti mimi wa priority na kidivition 3 chako. Eti mwanasayansi ambae hata hujui HCl kwenye betry ya gari inatunzaje umeme! Jinga kweli.
Blassphemy.....mungu hapendi namna hii...
Naamini ameshakusamehe maana mungu wetu ni wa huruma sana.
Huyu jamaa anaedharau HKL ni -------- sana. Mpaka hiyo 3 yake imempa nyodo anaanza kuwahukumu wenzake. Kwa taarifa yake waliochukua kombi za sayansi na kupata div one mpaka three wameitwa JKT yy na three ya 17 au four analeta nyodo humu??!!! Huyu ni -------- maana angekuwa mjinga tangu anasoma kindergate hadi 4m6 ujinga huo ungekuwa umeshamuisha.
Huyu jamaa anaedharau HKL ni -------- sana. Mpaka hiyo 3 yake imempa nyodo anaanza kuwahukumu wenzake. Kwa taarifa yake waliochukua kombi za sayansi na kupata div one mpaka three wameitwa JKT yy na three ya 17 au four analeta nyodo humu??!!! Huyu ni -------- maana angekuwa mjinga tangu anasoma kindergate hadi 4m6 ujinga huo ungekuwa umeshamuisha.
pole pole bro ukweli unauma
mimi sijapata 3 ww makalio..3 umepata wwewe unaesoma chuo cha tarafa
mimi sijapata 3 ww makalio..3 umepata wwewe unaesoma chuo cha tarafa
walo faulu wako jkt ndo maana wanawasubiri wao ndo watoe selection
ardhi university..a.k.a kiboko yaoWe unasoma chuo gani mkuu
We unasoma chuo gani mkuu
ardhi university..a.k.a kiboko yao
Do u thnk u are much better than aliyesoma HKL? Hiyo 4m6 yako haijakusaidia chochote na nathubutu kusema kuwa umepata elimu lakin hujaelimika.
usijali eshy utapa2,km ipo ipo2,ata mm ckupata round ya kwanza ingawa koz ni priority,wakaja kunpa batch ya2,bt kuna wengne dash mpaka leo.Kuna wana kibao2 wa non priority walikula loan mapema2!worry out madame!
Wadau mi naona huyu mtu achana nae, ukianza kukimbizana na kichaa nawewe utaonekana kichaa,na ukisikia mzazi anamwita mwanae MBWA ujue mzazi ndo mbwa,na ktk kuzaliwa wapo wanao tanguliza kichwa na wengine miguu.huyu anaonyesha mchanga mno na hajiamini
nikidisco mm bas ujue class mzima imeshadisco..
..Na wengine walitanguliza makalio pia..but haiwezi kutokea HKL iwe greater than PCM..itakua kiama siku hioWadau mi naona huyu mtu achana nae, ukianza kukimbizana na kichaa nawewe utaonekana kichaa,na ukisikia mzazi anamwita mwanae MBWA ujue mzazi ndo mbwa,na ktk kuzaliwa wapo wanao tanguliza kichwa na wengine miguu.huyu anaonyesha mchanga mno na hajiamini
Blassphemy.....mungu hapendi namna hii...
Naamini ameshakusamehe maana mungu wetu ni wa huruma sana.
wanazingua hawa ndio maana..anataka kufananisha HKL na PCM..haoni hata aibu..wanafkiria kufeli ni rahic sana eemmh kaka, iv ujawah kusikia mungu anagawa makofi? sasa angalia usije ukalipata ilo kofi! utaangukia pua! jaribu kutoa kauli nzuri bhana! %
m..... ni baba yako aliekuleta duniani..so hapo utajaza ulikusudia nini...HKL yako unaleta fujo...umepangwa chuo kinaitwa jordan sijui kobe bryant...hata shule zinatofautiana kwa ubora itakua chuo...pumb...avu we