bwana heslb huyooooo

Joined
Aug 3, 2013
Posts
79
Reaction score
6
wadau wa jf hasa kwa wale tunaomsubiria huyu bwana heslb kaeni mkao wa kula kwa mtonyo niliopewa na mdananda wa pande hizo anasema kesho mzigo watauweka hewani tho stay tuned by 2moro kuanzia saa nne.
 
mdananda umeupata kwa nani?
usiseme pande hizo tupe source kamili...!!!!
 
Yeah! Anachosema kuruti wa mungu ni sahihi.
Jamaa tangu ijumaa usiku wamefanya kazi ya kuandaa batches.
Kesho saa 4 asubuhi tu ugali huooo ktk sahani kama sio sinia.
 
Mwana poa ila kumbuka kuna waliosema tarehe 20 ila leo ni tarehd 22 sasa na wewe kama hauna uwakika acha kuweka threat ucokuwa na uwakika nayo.
 
Mamamakooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Its true...... By tmr tuna release...... Usiniulize mi ni nani?
 
Kama una rafiki au jamaaa wa 3rd round kuanzia leo saa3 usiku muulize kachaguliwa wapi. Ni hayo tu.
 
Tupe source kamili cs tunamsubili sana asa kwa siye tuliofungua chuo
 
hivi humu wanaruhusu matusi?Maana kuna watu wanakera ki-K......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…