Chadema siyo mkusanyikowa malaika, ni wanadamu and all humans are fallible no human being is infallible!
Ukilijua hilo, hotuba yako ya jana Singida, sishangai kuona kuwa kuna watu walitegemea kupewa vyeo!
ndiyo maana tunasema huwezi kuchukua chama ukampa mhamiaji kama Cecil Mwambe alivyokuwa anataka kuwa Mwenyekiti!
Msigwa was and I guess is still your close friend! ulimuamini, ungelifikiria kuwa angelihamia CCM? Hao ndio Kenge.
Hata kwa Samia kenge wapo, wako pale kwa vile she has vyeo to offer!
My take ni kuwa HAIKUWA vibaya kusikiliza hoja sa Samia za maridhiano. Mtu anakuita kuwa njoo tuongee turekebishe "maovu" ya mtangulizi wangu/yaliyotokea nyuma...kama una akili timamu huwezi kukataa, UTAMSIKILIZA WITH GREAT CAUTION TO THE TRUE INTENTION OF HER CALL!
Ukilijua hilo, hotuba yako ya jana Singida, sishangai kuona kuwa kuna watu walitegemea kupewa vyeo!
ndiyo maana tunasema huwezi kuchukua chama ukampa mhamiaji kama Cecil Mwambe alivyokuwa anataka kuwa Mwenyekiti!
Msigwa was and I guess is still your close friend! ulimuamini, ungelifikiria kuwa angelihamia CCM? Hao ndio Kenge.
Hata kwa Samia kenge wapo, wako pale kwa vile she has vyeo to offer!
My take ni kuwa HAIKUWA vibaya kusikiliza hoja sa Samia za maridhiano. Mtu anakuita kuwa njoo tuongee turekebishe "maovu" ya mtangulizi wangu/yaliyotokea nyuma...kama una akili timamu huwezi kukataa, UTAMSIKILIZA WITH GREAT CAUTION TO THE TRUE INTENTION OF HER CALL!