chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Lucas Mwashambwa Shukuru sana utimize umri kama Wassira ili ukiwa unayapitia maelezo yako ushindwe kufuta labda ukapige bomu internet ilipotokea.
Mada zako sasa ni lugha gongana haya tunauza nje kwa kununua umeme nje.
www.jamiiforums.com
Mada zako sasa ni lugha gongana haya tunauza nje kwa kununua umeme nje.
Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa
Julius Nyerere Hydro power itabaki daima kuwa legacy ya Magufuli, Samia hahusiki aje na yake, matundu ya choo ile ni aibu na upotevu wa pesa Uko sahihi itakuwa, legacy ya Magufuli na siyo mtu mwingine.