Bwana Samatta aipaisha Tanzania kimataifa


Bwana Samata anapaisha kimataifa Taifa la Tanzania.

Gooo good Samata na vijana wengine mliopo Serengeti Boys na Ngorongoro fuateni nyayo zake.
Kaipaisha toka Rank gani mpaka rank ipi?

au unamaanisha kuitangaza?

Kati ya Timu take Genk na Tanzania ipi imepaa?

au unamaanisha Kisoka Tanzania imepaa!?

Sama sama gool lala lala sama goal....[emoji460][emoji460]

Picha imepaisha matatizo kufikiri Kinondoni........[emoji116][emoji116][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Sio bwana sema mbwana.rudia tena....eee .viva samatta
 
Astonishing maana yake nini,

Huyu samatta juhudi zake ni tofauti na mtanzania wa kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…