Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kutokana na uwekezaji kwenye Bwawa la Nyerere kuhusisha na mikopo pia, je, lile bwawa likikamilika, bei ya umeme itapanda ama itashuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa wa bure....!Kutokana na uwekezaji kwenye bwawa la Nyerere kuhusisha na mikopo pia. Jee lile Bwawa likikamilika, bei ya Umeme itapanda ama itashuka??
Bure siyo bei. Bei huwa kubwa ama ndogo. Hupanda ama hushuka!!Utakuwa wa bure....!
Uhakika siyo bei. Uhakika ni hali ya kuaminika kwamba umeme utakuwa unapatikana muda wote bila ya kukatika katika. Jee bei yake itakuwa kubwa ama itashuka toka hapa ilipo!!??Hautapanda wala kushuka. Bali utakuwa wa uhakika!!
Jee Bei itakuwa kubwa ama itashuka. Yaani kwa sasa kama Yunit moja ni shilingi mia saba (700) jee umeme ukianza kuzalishwa kwenye bwawa la Nyerere bei yake itashuka ama ndiyo itaongezeka!!??Uhakika ni kutoshushwa umeme.
Kupanda hakuna uhakika
Hapa siyo suala la kuchagua bali uhalisia.Bei ama itapanda ama itashuka!!Chagua jibu lolote utakaloona linafaa