Uchaguzi 2020 Bwege na Chaurembo wanaisambaratisha na kuifuta CCM mikoa ya Kusini

Uchaguzi 2020 Bwege na Chaurembo wanaisambaratisha na kuifuta CCM mikoa ya Kusini

Hahahahaaaa.
Madhara sio ccm impact kwenye uchaguzi atakayepata ni cdm.

Hata hivyo hakuna mkutano hapo watu wote wako kwenye viti utafikiri harusini

..wao wanasisitiza DHULMA iliyofanywa na CCM kwa mikoa ya Kusini.

..CCM isipokuwa makini itafutika mikoa ya kusini kama ilivyofutika Pemba.
 
Acheni kuwafarijiiii, membe mwenyeweee, muda wote alikua anagongagonga maiki, huku umati wenyewee ulikua unasikitishaaa

Halafu, unasema wanaifuta ccm kusini kweli??

..Population yao sio kubwa.

..Kwa hiyo ni rahisi sana chama kuenea na kuota mizizi.
 
..mind your language.

..na wewe umekuwa kama Magufuli siku hizi?

..majibu gani hayo yasokuwa na maadili?

Kuna 'Lugha' gani 'mbaya' hapo? au sasa 'unatamani' nikutolee 'Lugha' mbaya ili uone 'tofauti' yake? Hivi neno 'Chumbani' ni 'baya' Kimaadili hasa?
 
..unaweza kusikiliza video clip yote.

..lakini Chaurembo yuko kuanzia dk 10:44.

..CCM watafute watu wa kuzima hoja za Chaurembo.

..wakichelewa watajikuta wamefutika mikoa ya kusini.


Watafutikaje wakati tayari wana majimbo mawili kibindoni?
 
Uchaguzi mgumu kwa CCM labda JWTZ liamuriwe kuondoka na maboksi ya kura za CHADEMA zibaki za ccm ili zihesabiwe
 
Kusini sasa mwaka huu ndio mwaka wa kufanya mabadiliko na kuchagua viongozi wao.
Kilwa lilikua ni dola kubwa Mpaka karne ya 15.
Serikali za wakaoloni wa Kijerumani na Kiingereza zilizoizaa CCM kimkakati wa kuua Maendeleo ya Kielimu,kidemokrasia, kiuchumi na kisiasa zimeendelea kuifanya kusini kuwa nyuma kimaendeleo kwa uwazi kabisa.
Gesi ilipoonekana italeta mabadiliko Makubwa ya kiuchumi kusini CCM waliamua kuua miradi ya gesi ili watu wa kusini waendelee kujuta kwa kukataa kutawaliwa kibabe tangu Ukoloni.

Dangote alipoletwa na Kikwete ili aendeleze viwanda vya sementi ili ishike bei watu wa kusini wajenge nyumba bora na kupata ajira ,Serikali ya CCM awamu ya tano ilimwekea vikwazo vingi kinyume na mkataba uliomvutia Dangote kuwekeza . yote ni ili kusini ibaki kwenye mkakati wa Wakoloni kubaki nyuma kwa kukataa ukoloni na Serikali za mabavu.

Korosho ilipoonekana inawaletea maendeleo watu wa kusini na kuweza kujenga nyumba zao na kuwasomesha watoto wao CCM iliwanyanganya pesa zao za korosho na korosho kupitia Jeshi liliotumiwa vibaya na watu walioshiba kuwadhulumu wenye njaa.

Sasa Kusini wanaendelea kukataa suala la kuchaguliwa wabunge na upolepolepole na Ubashibashiru kutoka Rwanda.

Uliona wapi kuku akiuzwa sh. Laki moja.
 
Back
Top Bottom