Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Samsung is the best brand ever kuanzia note 4 na matoleo mengine yapo poa sana yani ukimiliki hutojutia inatakiwa utunzaji tu maana ukivunja kioo super Amoled display ni very quality & expensive
Nina Tab yao hao wakorea ambayo joto la Chumbageni liliimenya kioo!! Ipo naangalia kama sioni imevunjika kioo baada ya kupewa bei ya kioo! cover yake nayo mashati...!
 
Hahaa wachina wamekula apple lote,wazungu walimega kipande kibishoo....
Utu tujamaa ni game changer
 
kitu halisi kutoka china ni sumu ya panya tu,vingine vyote magumashi mzee,acha kelele ziso na mashiko.
 
Huawei wamekuja juu sana, soon wataifunika iPhone

Tujipe muda, ubishi sitaki
 
Halafu WaTz tunalia ati EU wanakata misaada kwa sababu moja ya sheria zetu inapinga ushoga, du!!!
 
iPhone NDIO simu zangu Zina PRIVACY YA HALI YA JUU SANA
MWIZI ANAWEZA IBA SIMU YANGU ILA NIKAIZIMA BILA YY KUFANYA CHOCHOTE IPHONE IS MY FAVORITE
CHINA WANALINDA SOKO LAO SASA KAMA WATU HATA WHATSApp HURUHUSIWI KUWA NAYO KWENYE SIMU NI WICHAT TU

CHINA HAKUNA GOOGLE WANASEARCH ENGINE XAO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…