Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Kiukweli Mimi nipo Huawei, iPhone sijawai kushawishika nilianza na p9 lite nikaja p10 na sasa ni p20 pro kitu cha 128gb betr inakaa zaidi ya 24hr.ram gb 6.simu aipati moto..... IPhone anasubiri
Tutaaminije
 
Sasa mbona bei juu mzee, hizi marketing effort zako nimezikubali sana bro! Umetumia kitu ambacho wataalamu tunaita "buzz marketing." Lazma hio iphone ipate mteja ila ungefanya 300k ingependeza zaidi maana ni simu za malaya tu kwa sasa.
We jamaaa umefanya nicheke sana
 
MTOA MADA NI MWANAFUNZI MSAMEHENI HAJUI IPHONE HESHIMA YAKE KITU CHOCHOTE CHA MAREKANI PRODUCT ZAKE HAKUNA SEHEMU YOYOTE UTAKAYOIPATA UIMARA NA UZURI UTAWADANGANYA WASIOTEMBEA WASIOJUA SEMA KUNA IPHONE FEKI ZINATENGENEZWA CHINA KAMA HIYO KWENYE PICHA GOOGLE HALAFU ULIZIA IPHONE FAKE ZIKO VIPI UTAONYESHWA i phone 6 huwezi kuipata bila kuwa na mill 2 na kitu ukioona tz i phone inauzwa million1 feki au million 1 ,5 jiulize mara mbili watakwambia orginal wafanya biashara lakini feki
Inaweza kuwa sio fake lakini sio mpya ni used inakuwa refurbished na kuuzwa tena.

Ukiifanyia benchmark testing ina pass kama kawaida.
 
Mshana huwa nakuamini lakini kwa huu uzi umechemsha!!! Mimi natumia IPhone 6s Plus!! Huwezi linganisha IPhone na Simu za hovyo kama Huawei!!!! Ni vizuri utuombe msamaha watumiaji wote wa IPhone hapa JF!! Na usirudi tena na uzi Kama huu usiokuwa na kichwa wana miguu!! Hopeless Thread!!!
Hata mimi mtani wako na samsung 7edge nakuunga mkono!
 
MTOA MADA NI MWANAFUNZI MSAMEHENI HAJUI IPHONE HESHIMA YAKE KITU CHOCHOTE CHA MAREKANI PRODUCT ZAKE HAKUNA SEHEMU YOYOTE UTAKAYOIPATA UIMARA NA UZURI UTAWADANGANYA WASIOTEMBEA WASIOJUA SEMA KUNA IPHONE FEKI ZINATENGENEZWA CHINA KAMA HIYO KWENYE PICHA GOOGLE HALAFU ULIZIA IPHONE FAKE ZIKO VIPI UTAONYESHWA i phone 6 huwezi kuipata bila kuwa na mill 2 na kitu ukioona tz i phone inauzwa million1 feki au million 1 ,5 jiulize mara mbili watakwambia orginal wafanya biashara lakini feki
Iphone 6 million mbili..No way iPhone Xs max si itakuwa ni millioni kumi sasa??
 
Mleta uzi ni kama Vile anamlinganisha Mbappe na John Boko! I Phone hizo zinazouzwa 450k ni used Na zilizochoka na kiwa refurbished. Tatizo Bongo watumiaji ma waiza simu wengi wana elimu ndogo sana ya simu na hawataki kujifunza kwa kudhani wanajua kila kitu.
 
Ukisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
Lete uchambuzi wa masoko makubwa ya kimataifa sio lile Soko lenu la simu used na Mbovu pale Aggrey Kariakoo.
 
Mleta uzi ni kama Vile anamlinganisha Mbappe na John Boko! I Phone hizo zinazouzwa 450k ni used Na zilizochoka na kiwa refurbished. Tatizo Bongo watumiaji ma waiza simu wengi wana elimu ndogo sana ya simu na hawataki kujifunza kwa kudhani wanajua kila kitu.
Sio bongo tu hata China soko la iPhone limeporomoka vibaya mno... Siandiki kufurahisha genge... Hali iko hivyo
 
Lete uchambuzi wa masoko makubwa ya kimataifa sio lile Soko lenu la simu used na Mbovu pale Aggrey Kariakoo.
That's hukunielewa... Angalia soko la iPhone China kama zinafanya vizuri
 
Back
Top Bottom