Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

nimejaribu kumfuatilia huyu bwana mshana jr stories zake sometimes zinachekesha saaana,Anyways kaka hakuna simu unayoweza ilinganisha na iphone hapa duniani ndio maana kuna majina mawili iphone and smartphones pia kuna mac os and PC
iphone has the special user kaka ndiomaana utaona wanatengeneza device million moja then wanadiscontinue hio generation wanaamia nyingine kaka,Kabla ya kuandika vitu uwe unafikiri kwanza then unafanya criticalanalysis kwa kile unachotaka kukiongea
apple devices were not meant for everyone they were meant for special people kaka as the same as the rolex watches kaka
my regards
Apple products nyingi ni kama exclusive. Bei zake ziko juu na huzikuti sehemu za uswekeni. Wana focus kwenye ubora na uimara. Mimi kwenye simu hutaniuliza mara mbili, uchaguzi wangu siku zote ni iPhone.
 
nimejaribu kumfuatilia huyu bwana mshana jr stories zake sometimes zinachekesha saaana,Anyways kaka hakuna simu unayoweza ilinganisha na iphone hapa duniani ndio maana kuna majina mawili iphone and smartphones pia kuna mac os and PC
iphone has the special user kaka ndiomaana utaona wanatengeneza device million moja then wanadiscontinue hio generation wanaamia nyingine kaka,Kabla ya kuandika vitu uwe unafikiri kwanza then unafanya criticalanalysis kwa kile unachotaka kukiongea
apple devices were not meant for everyone they were meant for special people kaka as the same as the rolex watches kaka
my regards
Unapojaribu kum downgrade mtu halafu ukashindwa basi unaishia kujikanyaga tuu... Hizo simu unazosema they were not meant for every one zisingezagaa mpaka vichochoroni... Hizi business slogans zisiwabrainwash kiasi hiki....
Kuna simu kama Thuraya ambayo ni water proof na ni satellite ulizia bei yake uone... Bei yake si chini ya USD 2000 hizo ndio simu unazoweza kusema they were not meant for every one... Tembea uone

Jr[emoji769]
 
Unapojaribu kum downgrade mtu halafu ukashindwa basi unaishia kujikanyaga tuu... Hizo simu unazosema they were not meant for every one zisingezagaa mpaka vichochoroni... Hizi business slogans zisiwabrainwash kiasi hiki....
Kuna simu kama Thuraya ambayo ni water proof na ni satellite ulizia bei yake uone... Bei yake si chini ya USD 2000 hizo ndio simu unazoweza kusema they were not meant for every one... Tembea uone

Jr[emoji769]
Apple unazoona zimezagaa mtaani ni used na refurbished za europe na china. Nenda kaulizie I phone SE saivi mtaani kama utapata mpya nipm!
 
Apple unazoona zimezagaa mtaani ni used na refurbished za europe na china. Nenda kaulizie I phone SE saivi mtaani kama utapata mpya nipm!
Kama kuna copy na zimezagaa mitaani huwezi kuziita exclusive tena! Nioneshe Thuraya hata refurbished moja tu au niambie ni wangapi wanaimiliki hapa bongo
Halafu ni iPhone sio l phone
Jr[emoji769]
 
Kama kuna copy na zimezagaa mitaani huwezi kuziita exclusive tena! Nioneshe Thuraya hata refurbished moja tu au niambie ni wangapi wanaimiliki hapa bongo

Jr[emoji769]
Tatizo lako hujui Simu. Thuraya sio simu kwa matumizi yetu haya ya kuchat whatsapp na Jamii forums
 
Tatizo lako hujui Simu. Thuraya sio simu kwa matumizi yetu haya ya kuchat whatsapp na Jamii forums
Sijui simu lakini Thuraya ni simu... Usijichanganye... Ndio hapo sasa ufahamu kitu kikiitwa exclusive nini maana yake... Halafu kumbe wewe unatumia simu kwa kuchat na WhatsApp tuu duu....
Simu ninayotumia mimi ni tracker, ni remote, ni bank ni almost kila kitu... Mnataka mmiliki iPhones halafu matumizi hamyajui

Jr[emoji769]
 
Sijui simu lakini Thuraya ni simu... Usijichanganye... Ndio hapo sasa ufahamu kitu kikiitwa exclusive nini maana yake... Halafu kumbe wewe unatumia simu kwa kuchat na WhatsApp tuu duu....
Simu ninayotumia mimi ni tracker, ni remote, ni bank ni almost kila kitu... Mnataka mmiliki iPhones halafu matumizi hamyajui

Jr[emoji769]
Mimi natumia simu zaidi ya hivyo ulivyoorodhesha wewe, nilikuwa najaribu kukuelewesha tuu..hoja yangu ni kwamba I phone siyo simu cheap kama wewe unavyotaka kuwaaminisha wadau hapa
 
hii story haina tofauti na ile ya kikokotodhi tu
 
iPhone NDIO simu zangu Zina PRIVACY YA HALI YA JUU SANA
MWIZI ANAWEZA IBA SIMU YANGU ILA NIKAIZIMA BILA YY KUFANYA CHOCHOTE IPHONE IS MY FAVORITE
CHINA WANALINDA SOKO LAO SASA KAMA WATU HATA WHATSApp HURUHUSIWI KUWA NAYO KWENYE SIMU NI WICHAT TU

CHINA HAKUNA GOOGLE WANASEARCH ENGINE XAO
XAO ndio kitu gani???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna copy na zimezagaa mitaani huwezi kuziita exclusive tena! Nioneshe Thuraya hata refurbished moja tu au niambie ni wangapi wanaimiliki hapa bongo
Halafu ni iPhone sio l phone
Jr[emoji769]
utaongea yote but kuna iphone na smartphone pia kuna mac na PC these apple devices they were not meant for everyone
 
Back
Top Bottom