ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,282
- 4,251
Sasa ni wakati wako kumfata rafiki yako Ibrah Ajib maana kwa sasa ni dhahiri shahiri huna tena nafasi ndani ya kuanza ama kucheza mbele ya Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute maana imeonyesha dhahiri kabisa kwamba makocha wote wawili hawakuamini.
Ndo mchezo wa mpira ulivyo na pia kudra haijawahi kuishinda jitihada
Ndo mchezo wa mpira ulivyo na pia kudra haijawahi kuishinda jitihada