Bye bye my Tanzania, bye bye my fellow members, truly gonna miss u

Lakini JF linasomeka po pote ulimwenguni (pamoja na Canada unakohamia). Hivyo kama una nia ya kuendelea kuwa mwanachama wa JF kuondoka TZ siyo kikwazo kwa wewe kuwa mwanachama.
 
Hebu tuambie kama bado hujarudi Tanzania mpaka sasa.
 
Koo utahama adi jf..! Cjakupataa apoo
 
Ukiingia JF kutoka ni kazi labuda kama umekufa au cm imeibiwa au ikizimwa mwezi wa 6
 
HONGERA MKUU
 
umesahau kumalizia,mpaka jioni tulifika chalinze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…