my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
- Thread starter
- #221
hku npo senior high schoolkumbe ww ni mwanafunzi wa secondary dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hku npo senior high schoolkumbe ww ni mwanafunzi wa secondary dah
"hku npo senior high school
Lakini JF linasomeka po pote ulimwenguni (pamoja na Canada unakohamia). Hivyo kama una nia ya kuendelea kuwa mwanachama wa JF kuondoka TZ siyo kikwazo kwa wewe kuwa mwanachama.Ninawaaga my fellow members kesho tunasafiri mi na wazazi wangu na wadogo zangu tunahama Tanzania. Wazazi wangu wanaamishia makazi Canada kikazi. Nitamaliza my secondary education & university huko huko Mungu akipenda. Sina uhakika kama nitarudi tena Tanzania.
Nitawamiss sana, Luv u all
Hicho kitabu ni mwaka gani?Kweli watu wana kumbukumbu.nilisoma darasa la tatu
Uko Tz ya wap kama haujui samunge kwa babusamunge ndo wp?
Koo utahama adi jf..! Cjakupataa apooNinawaaga my fellow members kesho tunasafiri mi na wazazi wangu na wadogo zangu tunahama Tanzania. Wazazi wangu wanaamishia makazi Canada kikazi. Nitamaliza my secondary education & university huko huko Mungu akipenda. Sina uhakika kama nitarudi tena Tanzania.
Nitawamiss sana, Luv u all
Na'am namjuwa msalimie ..kawa mtu mzima eenh !! basi mvumilie... usimkere kere..hajambo. unamjua?
HONGERA MKUUNinawaaga my fellow members kesho tunasafiri mi na wazazi wangu na wadogo zangu tunahama Tanzania. Wazazi wangu wanaamishia makazi Canada kikazi. Nitamaliza my secondary education & university huko huko Mungu akipenda. Sina uhakika kama nitarudi tena Tanzania.
Nitawamiss sana, Luv u all
HONGERA MKUU
nahisi na umri unachangiaUshamba mzigo
umesahau kumalizia,mpaka jioni tulifika chalinzeUmenikumbusha kitabu cha "Kusoma" cha darasa la pili enzi hizo elim ni elimu katika kichwa chwa habari kilichosomeka "KUHAMA" tulikuwa tunasimamishwa mmmoja mmoja kusima. Kilianza hivi:
"Kuhama. Mimi na Baba yangu, na Mama yangu, na wadogo zangu na dada yatu tulihama.
Mimi na Baba yangu tulikaa nyuma. (ya roli la mchanga) Mama na dada na wadogo zangu walikaa mbele.
Tuliona miti na milima ikikimbia kurudi nyuma!...."
Wazee wenzangu watakumbuka!