Bye bye my Tanzania, bye bye my fellow members, truly gonna miss u


Go east go west home is best....!!!
 

labda wazaz wngu warud tena tanzania nkiwa bado nasoma ndo ntarud. km nkianza kujtegemea crud upes mpk nwe na hela nyng.
 
labda wazaz wngu warud tena tanzania nkiwa bado nasoma ndo ntarud. km nkianza kujtegemea crud upes mpk nwe na hela nyng.

Mdogo wangu, hivi unadhani kutoka kimaisha huko juu ji rahisi kihivyo?
Watu wanakimbilia huku.
Na kingine Visa yako ikiisha muda ndo unarudi huku na utakaa huku milele.
Afu pia wazungu watakurudisha maana hujui kuandika vizuri
 
unatuaga unatufahamu?
 
dogo watu tumesafiri nchi zaidi ya kumi na hatujinadi sasa wewe utoto unakusumbua mpaka unatoa mada yakipuuzi
 
Tanzania anae ongoza kusafiri ni JK
 

Utarudi ukiwa marehemu kukuzika.
 
We unatupenda unatujua? Eti 'love you all'

And by the way, safari njema.
 

hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…