Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Donβt know what that means but thanks any way for your reply.Dukilo dukal
Bon voyage dude! We will miss youTo cut the long story short akili yangu inaniambia rudi kucheza mzawa kwa huku kijijini nilipo.
Na uchazaji wangu wa uzawa unanibadili fikra na personality kabisa.
Mengine mtanisikia, baada ya kujutafakari nimekubali mipango yangu hipo huku kijijini.
Tanzania willl forever be in my heart.
Take it or leave it this my last JF post,
Itβs been a ride wishing all members best of lack
Niilikuwepi
Proffesor Kibassa
[emoji120][emoji120][emoji120]
PS do not imitate me mods
It has been a wonderful ride, but it has to end.
Asante kaka, mungu aendelee kukubariki
Donβt know what that means but thanks any way for your reply.
Wish you all the best in life
Inamaana tutaendelea kua nae ila kwa njia nyingine?Unarudi kwenye ile ID ya zamani au unafungua ID mpya?
No nikilala nikiamka sitofungua tena JF maisha yanataka commitment zingine.Unarudi kwenye ile ID ya zamani au unafungua ID mpya?
Inamaana tutaendelea kua nae ila kwa njia nyingine?
π€£πNo nikilala nikiamka sitofungua tena JF maisha yanataka commitment zingine.
Nimekubali vita yangu ipo kijijini, pamoja na kupenda siasa za Tanzania ni muda wa kukuwa.
πBon Voyage brother mbona sisi tupo kijijini na JF tupo wewe umekuja one's unaona kama adhabu...ok life goes on
kwa sie tusioelewa lugha una maana gani? usijiue bwanaTo cut the long story short akili yangu inaniambia rudi kucheza mzawa kwa huku kijijini nilipo.
Na uchazaji wangu wa uzawa unanibadili fikra na personality kabisa.
Mengine mtanisikia, baada ya kujutafakari nimekubali mipango yangu hipo huku kijijini.
Tanzania willl forever be in my heart.
Take it or leave it this my last JF post,
Itβs been a ride wishing all members best of lack
Niilikuwepi
Proffesor Kibassa
πππ
PS do not imitate me mods
It has been a wonderful ride, but it has to end.
100% hujakosea mkuu.JF ni nyama ya mtu, addiction yaΔ·e mbaya sana
Niamini nikilala nikiamka sitskuwa tena.Inamaana tutaendelea kua nae ila kwa njia nyingine?
Asante MheshimiwaWishing you the best in a best way
Zote hizi zilikua zako@mayor_quimby
@kilatha
JUMA contena
Eric Cartman
HandsomeBoy
Zinjathropus
Na ID nyingine nilizo sahau
Been a journey
πππππππππππππ
Ok mkuu tunakuombea heri uko utapokuwa baada ya kuachana na JF.Niamini nikilala nikiamka sitskuwa tena.
Naomba tu mods waache imitation, hayo mambo yana madhara kwa watu wasio yajua.