Pununkila
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 689
- 1,706
💥BYUTI BYUTI vs UNSTOPPABLE
Direct Footbal vs Lunyas Phylosopy.
✍️Game approach and Mentality.
Ni mchezo unaohitaji nidhamu ya hali ya juu na wachezaji wenye uwezo wa kuamua matokeo kwa timu zote mbili.
✍️Techniques and Tactics.
Mifumo ya walimu kwa soka la kisasa hutegemea na kubadilika kwa mchezo kila baada ya dakika chache na baada ya kuusoma mchezo pindi unapoanza.
✍️Nabi ni muumini wa 4,1,4,1 na 4,2,3,1 na 4,2,3,1.wacheze mpira wa chini kwa pass fupi fupi na mashuti kwa speed na nguvu with skills, anafanya buildup kuanzia kwa GK.
✍️Zoran ni muumini wa mpira wa pass akichezea kwenye Zonal 14 buildup kuanzia kwa GK , zinapigwa pass fupi za pembe tatu kuelekea lango la mpinzani.
✍️ Kikosi cha kwanza Yanga.
1. Diarra,2. Djuma, 3:Kibwana , 4:Job, 5:Bangala
6: Bigirimana, 7: Farid, 8:Aucho, 9: Mayele, 10: Aziz,11: Feisal .
✍️Kikosi cha kwanza Simba.
1: Kakolanya, 2:Kapombe, 3:Tshabalala, 4:Enock, 5:Oattara, 6:Mkude, 7:Sakho, 8:Okwa, 9:Kibu, 10: Okrah, 11:Chama.
✍️Kama Yanga wataamua kuja na 3,5,2 na Conuter attack,Sakho,Okwa na Okrah Wana jukumu la ku-unlock diffence line na kutafta magoli ku-create chances za magoli.
✍️Kama Simba wanakuja na 3,5,2 loa blocking systerm, Farid, Fei na Ki watatakiwa kuamua mchezo.
Atakayeingia kwenye mfumo wa mwenzake Atapoteza mchezo.
#Jiandae kuhesabiwa.
#NguvuMoja #DaimaMbeleNyumaMwiko
Direct Footbal vs Lunyas Phylosopy.
✍️Game approach and Mentality.
Ni mchezo unaohitaji nidhamu ya hali ya juu na wachezaji wenye uwezo wa kuamua matokeo kwa timu zote mbili.
✍️Techniques and Tactics.
Mifumo ya walimu kwa soka la kisasa hutegemea na kubadilika kwa mchezo kila baada ya dakika chache na baada ya kuusoma mchezo pindi unapoanza.
✍️Nabi ni muumini wa 4,1,4,1 na 4,2,3,1 na 4,2,3,1.wacheze mpira wa chini kwa pass fupi fupi na mashuti kwa speed na nguvu with skills, anafanya buildup kuanzia kwa GK.
✍️Zoran ni muumini wa mpira wa pass akichezea kwenye Zonal 14 buildup kuanzia kwa GK , zinapigwa pass fupi za pembe tatu kuelekea lango la mpinzani.
✍️ Kikosi cha kwanza Yanga.
1. Diarra,2. Djuma, 3:Kibwana , 4:Job, 5:Bangala
6: Bigirimana, 7: Farid, 8:Aucho, 9: Mayele, 10: Aziz,11: Feisal .
✍️Kikosi cha kwanza Simba.
1: Kakolanya, 2:Kapombe, 3:Tshabalala, 4:Enock, 5:Oattara, 6:Mkude, 7:Sakho, 8:Okwa, 9:Kibu, 10: Okrah, 11:Chama.
✍️Kama Yanga wataamua kuja na 3,5,2 na Conuter attack,Sakho,Okwa na Okrah Wana jukumu la ku-unlock diffence line na kutafta magoli ku-create chances za magoli.
✍️Kama Simba wanakuja na 3,5,2 loa blocking systerm, Farid, Fei na Ki watatakiwa kuamua mchezo.
Atakayeingia kwenye mfumo wa mwenzake Atapoteza mchezo.
#Jiandae kuhesabiwa.
#NguvuMoja #DaimaMbeleNyumaMwiko