C inaanzia 57

Joined
Jul 28, 2012
Posts
13
Reaction score
3
Jamani wadau ebu tusaidiane kwa hili hivi ni kweli kwamba c ya private candidates inaanzia 57 au ndio uzushi wa wabongo mana kuna mtu amepata four ya 27 na ana c mbili lakini hataki kutafuta c ya tatu anahofia kushindwa kufikisha 57 ameamua kuwa mjenzi
 
Sio kweli,hayo ni maneno ya vijiweni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…