Cabinet approves city status for 2 more towns

City 5? Hiyo njaa na umasikini uliotopea zinasaidia nini? Acheni kuongea pumba.
 
Is Iringa a coastal city? if it is then I think we can start...I am ready when you are
Mtwara is the Coastal City (read Coastal Town) and if somebody has the picture,Malindi is nothing my friends from Kenya.
 
Aisee hii ni bonge ya habari na yastahili tujipongeza mazee, wakati tunasubiri waswahili waje na kutuambia pia wao wanazindua miji mipya,! acheni na mm nishiriki moto kidogoView attachment 601370
I think Moshi and Dodoma will be joining and making 7Cities in total.

Next is Iringa and Morogoro/Kahama(If it will raised to regional status) automatic the town fits for Municipality status
 
Mliman city iko busy sana sasa maliza calories zako kufananisha na vitu vya kijinga
 
Just google any tanzanian city kutoka dodoma kuendelea uone shite zinatokea

Compare zote na Kisumu au Nakuru ...non is even close
 
Na KIA? Haiwezekani Mombasa airport kuipinga KIA ama AKIA Zanzibar! Data za kupikwa hizo..
 
tanzanians are calling dodoma, iringa and mnbeya cities? lol! what a joke! the only city in Tanzania is Dar...hata arusha is just a big town...infrastructure is very poor...
 
Na KIA? Haiwezekani Mombasa airport kuipinga KIA ama AKIA Zanzibar! Data za kupikwa hizo..
Zote mbili ndogo kwa Moi intll Airport Mombasa. Abeid Amani (Karume intnl Airport) (AKIA) na 900k yake nishaiorodhesha hapo. Kilimanjaro nayo bado haijafika ligi @700k.

Jumla ya zote mbili no 1.5m at 2015 vs 1.3m ya MIA at 2013, nashuku by 2015 MIA ilikua imefikia jumla ya zote mbili so bado changa.

Just Google Friend, najua ni ngumu kukubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…