Tokyo40
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,065
- 1,925
- Thread starter
- #21
Cable inaonyesha msaada wa dola milioni 30 uliotolewa na Uiingereza mwaka 1974.
Msaada huu wa miaka mitatu ulitolewa katika ziara ya Waziri wa Maendeleo ya Nje wa Uiingereza, Bibi Judith Hart, alipokuja Tanzania mwaka 1974.
Bibi Hart alionana na Nyerere na viongozi wengine wa Tanzania.
Katika msaada huu, kuna fedha za kuwaleta wajuzi mbalimbali kutoka Uiingereza kusaidia Tanzania, kupeleka Watanzania kusoma Uiingereza, kuongeza walimu UDSM na kulipia gharama za kuleta maendeleo ya vijijini.
MWISHO
Cable na tafsiri nimeifupisha.
Wikileaks.org
UK OFFERS CAPITAL AID PROGRAM TO TANZANIA
Date:1974 June 26, 11:20
SUMMARY: UK HAS OFFERED $30 MILLION CAPITAL AID AND TECHNICAL ASSISTANCE PACKAGE TO TANZANIA IN WAKE OF VISIT BY BRITISH MINISTER FOR OVERSEAS DEVELOPMENT.
AID WILL COVER AT LEAST
THREE YEAR PERIOD.
THIS IS FIRST UK CAPITAL AID PROGRAM IN TANZANIA
SINCE 1965.
UK MINISTER FOR OVERSEAS DEVELOPMENT, MRS. JUDITH HART, VISITED TANZANIA JUNE 16-22.
SHE MET WITH PRESIDENT NYERERE, FIRST VICE PRESIDENT JUMBE, FOREIGN MINISTER MALECELA, COMMERCE
AND INDUSTRIES MINISTER JAMAL, AND ECONOMIC AFFAIRS AND
DEVELOPMENT PLANNING MINISTER CHAGULA.
OVERALL PACKAGE, WHICH TOTALS ABOUT $30 MILLION,
WILL COVER AT LEAST THREE YEAR PERIOD.
AID PACKAGE WILL COVER FOLLOWING ON-GOING OR PREVIOUSLY AGREED UPON PROGRAMS:
(A) FUNDING AND TOPPING OFF OF PROFESSORS AT UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM.
(B) VARIOUS TRAINING PROGRAMS IN UK
(C) FUNDING FOR PAYMENT OF PENSIONS TO FORMER UK CIVIL SERVANTS IN TANZANIA.
(D) FUNDS FOR TRANSFER TO TANZANIA, ON BASIS OF AGREED VALUATION, OF FARMS WHICH ARE STILL BEING OCCUPIED BY BRITISH NATIONALS, I.E. KILIMANJARO FARMERS.
THESE FOUR AREAS, HOWEVER, WILL ACCOUNT FOR RELATIVELY SMALL PORTION OF PACKAGE.
REMAINDER WILL BE DEVOTED TO RURAL DEVELOPMENT PROJECTS.
NO INTEREST WILL BE PAYABLE ON LOAN. REMAINING $3 MILLION WILL BE PROVIDED AS TECHNICAL AID, I.E. FOR SENDING UK SPECIALISTS TO TANZANIA.
Msaada huu wa miaka mitatu ulitolewa katika ziara ya Waziri wa Maendeleo ya Nje wa Uiingereza, Bibi Judith Hart, alipokuja Tanzania mwaka 1974.
Bibi Hart alionana na Nyerere na viongozi wengine wa Tanzania.
Katika msaada huu, kuna fedha za kuwaleta wajuzi mbalimbali kutoka Uiingereza kusaidia Tanzania, kupeleka Watanzania kusoma Uiingereza, kuongeza walimu UDSM na kulipia gharama za kuleta maendeleo ya vijijini.
MWISHO
Cable na tafsiri nimeifupisha.
Wikileaks.org
UK OFFERS CAPITAL AID PROGRAM TO TANZANIA
Date:1974 June 26, 11:20
SUMMARY: UK HAS OFFERED $30 MILLION CAPITAL AID AND TECHNICAL ASSISTANCE PACKAGE TO TANZANIA IN WAKE OF VISIT BY BRITISH MINISTER FOR OVERSEAS DEVELOPMENT.
AID WILL COVER AT LEAST
THREE YEAR PERIOD.
THIS IS FIRST UK CAPITAL AID PROGRAM IN TANZANIA
SINCE 1965.
UK MINISTER FOR OVERSEAS DEVELOPMENT, MRS. JUDITH HART, VISITED TANZANIA JUNE 16-22.
SHE MET WITH PRESIDENT NYERERE, FIRST VICE PRESIDENT JUMBE, FOREIGN MINISTER MALECELA, COMMERCE
AND INDUSTRIES MINISTER JAMAL, AND ECONOMIC AFFAIRS AND
DEVELOPMENT PLANNING MINISTER CHAGULA.
OVERALL PACKAGE, WHICH TOTALS ABOUT $30 MILLION,
WILL COVER AT LEAST THREE YEAR PERIOD.
AID PACKAGE WILL COVER FOLLOWING ON-GOING OR PREVIOUSLY AGREED UPON PROGRAMS:
(A) FUNDING AND TOPPING OFF OF PROFESSORS AT UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM.
(B) VARIOUS TRAINING PROGRAMS IN UK
(C) FUNDING FOR PAYMENT OF PENSIONS TO FORMER UK CIVIL SERVANTS IN TANZANIA.
(D) FUNDS FOR TRANSFER TO TANZANIA, ON BASIS OF AGREED VALUATION, OF FARMS WHICH ARE STILL BEING OCCUPIED BY BRITISH NATIONALS, I.E. KILIMANJARO FARMERS.
THESE FOUR AREAS, HOWEVER, WILL ACCOUNT FOR RELATIVELY SMALL PORTION OF PACKAGE.
REMAINDER WILL BE DEVOTED TO RURAL DEVELOPMENT PROJECTS.
NO INTEREST WILL BE PAYABLE ON LOAN. REMAINING $3 MILLION WILL BE PROVIDED AS TECHNICAL AID, I.E. FOR SENDING UK SPECIALISTS TO TANZANIA.